WATU NA KAZI ZAO

  • MWANGALIZI
    mtu anayefanya kazi ya utunzaji na uhifadhi wa vitu ili visiharibike au mambo yasiende kombo
  • MWANGUZI
    mtu afanyaye kazi ya kuangusha matunda k.v-nazi kutoka mtini
  • MWANAFASIHI
    mtu anayefanya kazi ya uandishi wa sanaa ya fasihi
  • MWANAMKENDE/KISABALUU/KIBERENGE/KAHABA/MALAYA/KIBIRITINGOMA/CHANGUDOA/MTALALESHI/MLUPO/GUBERI
    mwanamke anayefanya kazi ya kujiuza au kuuza mwili wake kwa wanaume kwa ajili ya kupata pesa
  • MNDEWA/JUMBE
    mtu ambaye ni kiongozi wa jamii yake,pia huitwa balozi wa kijiji
  • MWANAMICHEZO
    mtu ambaye kazi yake ni michezo,mdau wa michezo
  • MWANAMASUMBWI/MWANANDONDI
    anayefanya kazi ya kupigana ndondi au ngumi
  • MWANAMUZIKI/MWIMBAJI
    mtu anayefanya kazi ya kuimba kwa kutumia zana za muziki
  • MWANARIADHA
    anayefanya kazi ya mbio;riadha.mchezaji wa riadha
  • MWANARIWAYA
    anayefanya kazi ya kuandika vitabu vya hadithi,novela au riwaya
  • MWANASARUFU
    mtu ambaye kazi yake hushughulikia taaluma ya sarufi
  • MWANASAYANSI
    mtu ambaye kazi yake inashughulikia uchunguzi,upimaji,majaribi
  • UTEDI
    mtumishi wa cheo kidogo afanyaye kazi katika chombo cha bahari k.v kukiosha na kuwapa watu chakula
  • MAMANTILIE
    mtu hasa wa kike anayeuza chakula magengeni au nyumbani
  • MAMLUKI
    huyu ni askari wa kukodiwa ili kupigana katika nchi jirani
  • HARAMIA
    huyu ni mnyang’anyi wa baharini.Gaidi wa baharini.
  • MAKANIKA
    fundi wa kutengeneza magari au mashine
  • MANAMBA
    wafanyakazi wahamiaji katika mashamba makubwa
  • MCHINJAJI
    mtu anayefanya kazi ya kuchinja wanyama na kuwauza kwenye bucha
  • MCHORAJI
    mtu anayefanya kazi ya kuchora picha
  • LUGOJO
    watu wanaolinda kwa zamu
  • MFAGIZI/MFAGIAJI
    mtu anayefagia
  • MFARISHI
    mtu anayefanya kazi ya kutandika kitanda
  • MRINA
    fundi stadi wa kupakua asali
  • RUGARUGA
    mtu ambaye anafanya kazi chini ya amri ya chifu
  • KIBICHAMBO
    mtu hasa wa kike anayetumiwa kufanya kazi ya kunasa adui wa upande hasimu
  • FUNDIBOMBA
    mtu atengenezaye mifereji ya maji
  • MKWEZI
    anayepanda au kuaramia miti kv minazi na kuangua nazi
  • MFUANAZI
    mtu anayetoa makumbi kwenye nazi
  • KOSTEBO
    polisi wa cheo cha chini…
  • MNAJIMU/FALAKI/MAJUSI
    mwenye elimu na stadi wa masuala ya nyota
  • MWANDAZI
    mtu anayepika chakula kwa ajili ya shughuli za fulani k.v-sherehe,karamu nk
  • MNYAPARA/MSIMAMIZI
    mtu anayeangalia au kusimamia utekelezaji wa kazi
  • MKADIMU
    msimamizi mkuu wa shamba
  • NOKOA
    msaidizi wa mkadimu
  • MHADHIRI
    mwalimu katika chuo kikuu au chuo cha kadri anayefundisha kwa kutoa mhadhara
  • MJUME
    fundi wa kutia nakshi katika vyombo kama vile vya madini au mbao
  • TARISHI/MJUMBE/KATIKIRO/MESENJA
    mtu anayefanya kazi ya kutumwa kupeleka barua au ujumbe kutoka ofisi moja hadi nyingine au mahali mbalimbali
  • MSHENGA
    mtu anayetumwa kupeleka ujumbe au habari za kuoa-posa kutoka upande wa mchumba-mume kwa upande wa mke-mchumbiwa
  • DAKTARI/TABIBU/MGANGA
    mtu stadi katika masuala ya kuwatibu wagonjwa
  • DAKTARIMENO/MHAZIGIMENO
    huyu ni daktari wa meno
  • KULI/MPAKUZI/MPAKIZI
    mtu anayefanya kazi ya kupakua na kupakia mizigo kwenye meli,gari,bohari au mahali panapostahili
  • MSUSI/MSONZI
    anayesuka watu nywele
  • KARII
    msomaji wa Kurani
  • MWALIMU/MDARISI/USTADH
    Mtu anayefundisha
  • NAHODHA
    mtu anayeendesha meli
  • SARAHANGI
    mtu anayemsaidia nahodha(nahodha wa pili)
  • KANDAWALA
    mtu anayeendesha garimoshi
  • DEREVA
    mtu anayeendesha gari
  • RUBANI
    mtu anayeendesha ndege
  • SAISI
    mtu anayefanya kazi ya kuchunga wanyama wanaopandwa kama vile Farasi,Punda,Ngamia n.k
  • MZEGAMZEGA
    mtu anayeuza maji kwa kuyatembeza
  • MGEMA
    mtu anayefanya kazi kukinga tembo la mnazi au kuchanja magome ili kupata utomvu au kutengeneza ulimbo
  • DALALI/MNADI
    mtu anayeuza bidhaa mnadani kwa kutangaza;**Zabuni-uza kwa kushindanisha bei
  • MACHINGA/MMACHINGA
    mtu anayefanya kazi ya biashara kwa kutembeza bidhaa zake aghalabu kwa miguu ili kuwatafuta wateja mf.’Malimali’
  • MCHUKUZI/HAMALI/MPAGAZI
    mtu anayefanya kazi ya kubeba mizigo kwa kutumia rukwama,toroli,bero/baro nk
  • MCHUUZI
    mtu afanyaye kazi ya biashara ya kuuza vitu rejareja mf.Hawker!
  • MKUNGA
    mtu anayewasaidia wanawake kukopoa au kujifungua
  • NGARIBA
    mtu anayetahiri vijana jandoni au unyagoni
  • MHASIBU
    Mtu anayefanya kazi ya upimaji wa hali ya kifedha ya shirika au biashara, Mtaalamu wa kuweka hesabu za fedha. ‘Accountant
  • MHAKIKIMALI
    anayefanya kazi ya kuhakiki ubora wa bidhaa
  • MWAMIAJI/MWAMIZI
    afanyaye kazi ya kuamia ndege shamba
  • MWAMUZI
    anayesuluhisha ugomvi baina ya pande mbili au zaidi
  • REFA/MWAMUZI
    anayechezesha mchezo kulingana na sheria za mchezo husika
  • MWANAANGA
    afanyaye kazi ya utafiti wa mambo ya anga
  • MWANABAYOLOJIA
    mtaalamu wa masuala ya viumbe na mimea
  • MWANADIPLOMASIA
    mtu anayefanya kazi kv katika ubalozi
  • MWANAGAINOKOLOJIA
    mtaalamu wa maradhi ya akina mama
  • MWANAISIMU
    mtaalamu wa masuala ya isimu na lugha
  • MWANAJESHI
    askari katika jeshi la ulinzi
  • MWANAMAJI/BAHARIA/MWANAPWA
    mtu anayefanya kazi katika chombo cha baharini
  • MWANASHERIA
    mtu utaalamu wa mambo ya sheria
  • MWANASIASA
    mtu anayejishughulisha na mambo ya siasa
  • MSHAIRI/MTUNZI/MALENGA
    mtu afanyaye kazi ya kutunga mashairi/nudhuma
  • MGHANI/MANJU
    gwiji katika kuimba mashairi
  • RAWI
    stadi katika kukariri au kusoma shairi bila kuimba
  • SHAHA
    mtu stadi katika kuhariri mashairi
  • MHARIRI
    stadi katika kusoma na kukosoa kazi ilioandikwa na mtu mwengine!
  • KARII
    mtu anayesoma Kurani hasa Tajuwidi
  • KONDAKTA/TANIBOI/UTINGO/MAKANGA
    mtu anayepokea nauli kwenye gari pia hupakia na kupakua mizigo kwenye matwana,daladala au matatu
  • MSUKAJI
    mtu anayeshona,kutarizi au kufuma mkeka,jamvi,kanda au vikapu
  • BOSI/TAJIRI
    mkuu wa ofisi anayeajiri watu katika kazi
  • MRAMALI
    mtu anayetabiri mambo kwa kuvmia elimu ya nyota
  • MRATIBU
    mtu anayepanga,kuunganisha na kusimamia shughuli za watu mbalimbali katika kazi au ofisi
  • HATIBU
    mtu anayetoa hotuba kwa hadhira au hadhara
  • BAYANA
    mtu stadi au fundi wa kusema,kuongea au kuhutubu kwa kutumia ujuzi wa lugha
  • MRASIMU
    mtu anayefanya kazi ya afisi na kulingana na taratibu na kanuni za utawala
  • WADENI
    mwenye dhamana ya kusimamia mahali k.v-mbuga za wanyama,hoteli,misitu,magereza
  • WAKALA/AJENTI
    mwakilishi wa kampuni,shirika au shughuli ya kibiashara
  • WARIA
    mtu aliye hodari katika kazi za mikono mf.ushonaji,uashi,uchongaji nk
  • UTEDI
    mtumishi wa cheo kidogo afanyaye kazi katika chombo cha bahari kv-kukiosha……………..
  • MWASHI
    mtu anayejenga nyumba za mawe;anayeaka
  • SAKUBIMBI
    mtu mwenye tabia za kueneza habari za watu za uongo
  • JASUSI/MPELELEZI/NDUNZI/DUZI/MTESI
    mtu anayechunguza watu kibubusa na matukio fulani katika nchi yake au nyingine
  • KIBARAKA/KIKARAGOSI
    kiongozi wa serikali anayetumiwa ili apate mamlaka au manufaa zaidi
  • MUALISAJI/MUUGUZI/NESI
    anayehudumia wagonjwa
  • BALOZI
    kiongozi wa kidiplomasia anayewakilisha nchi yake katika nchi nyingine
  • MLANGUZI
    mtu anayenunua bidhaa kwa bei rahisi na kuviuza kwa bei ghali
  • BEPARI
    mfanyabiashara mkubwa mwenye kumiliki rasilimali au mali na njia kuu za uchumi
  • MFINYANZI
    mtu anayeunda vyombo vya udongo k.v-vyungu,kauri nk
  • DIWANI
    mtu anayewakilisha watu wake katika serikali za mitaa
  • MKALIMANI/MTARIJUMANI/MTAPTA
    anayetafsiri lugha
  • SEREMALA
    fundi anayetengeza vifa vya mbao au fanicha au samani
  • MWADHINI
    mtu anayewaita watu msikitini kwa swala
  • TOPASI/CHURA
    mtu anayefanya kazi ya usafi wa choo
  • DOBI
    anayeosha nguo au kuzipiga pasi
  • SOGORA
    stadi wa kucheza ngoma…..
  • MHASIBU
    mtu anayeweka hesabu ya fedha
  • MHAZILI/SEKRETARI
    mtu anayetunza barua na majalada ya ofisi na kuandika kwa mashine kama vile taipureta au taipu
  • MHANDISI/INJINIA
    fundi wa mitambo hasa ya vyuma
  • BAWABU/GADI/MLINZI/ASKARIGONGO/SOJA
    mtu anayelinda mali na maisha ya tajiri au bwenyenye kv viwanda,boma,shule,mashirika,ofisi nk kwa kuweka usalama
  • MKUMBIZI
    mtu anayesafisha na kuondoa takataka;pia ni mtu afuataye wavunaji shambani na kuokoteza mavuno yaliyosalia na kuuza au kutumia nyumbani
  • MSAJILI
    mtu anayeandikisha vifo,kura na kuweka orodha ya kazi au vitu alivyokabidhiwa
  • SONARA/MFUAFEDHA
    fundi wa kutengeneza mapambo k.v-pete,kekee,mkufu,bangili,kikero n.k
  • MSANA/MHUNZI/MFUACHUMA
    mtu anayefanya kazi ya kufua vitu vya madini ya chuma au bati k.v-visu,sufuria,majembe,seredani,ndusi,panga nk
  • MUKUTUBI/MKUTUBU
    mtu anayefanya kazi ya kuhifadhi vitabu na kuviazimisha kwa wasomi
  • AKIDU
    mtu anayefanya kazi kwa mkatabani
  • MUTRIBU
    mtu anayeimba nyimbo za taarabu
  • MWASHI
    anayejenga nyumba….
  • MWANASAYANSI
    mtu ambaye kazi yake inashughulikia uchunguzi,ugunduzi,upimaji,majaribio na kuthibitishwa kwa muda uliopo
  • MWANASOKA
    mtu anayefanya kazi ya kucheza mpira wa miguu,soka,kabumbu,gozi au kandanda
  • MTAALAMU
    mtu anayefanya kazi taaluma aliyotaalamika ndani yake
  • MWANATAMTHILIA/MWANATAMTHILIYA
    mtu anayefanya kazi ya kuandika michezo ya kuigiza
  • MWANAHABARI/MTANGAZAJI
    mtu anayefanya kazi ya kutafuta,kuandika,kukusanya,kuhari na kutangaza au kusambaza taarifa au habari katika vyombo vya habari
  • MWANALEKSIKOLOGRAFIA
    mtu anayefanya kazi inayoshughulikia uchunguzi,uchambuzi na uchanganuzi wa msamiati wa lugha pamoja na maana yake
  • MLEHEMAJI
    mtu anayefanya kazi ya kuunganisha vitu hasa vyuma kwa kutumia madini aghalabu kwa kutumia risasi
  • MWANALEKSIKOGRAFIA
    mtu anayefanya kazi ya kuandika Kamusi
  • MSHAURINASAHA
    mtu anayefanya kazi ya kutoa ushauri au nasaha kwa watu
  • MCHANGANUZI
    mtu afanyaye kazi ya kuchanganua masuala tofautitofauti.
    Kwa hayo machache sina cha ziada.Je,una nini mdau?
  • MNAJIMU/FALAKI/MAJUSI
    mwenye elimu na stadi wa masuala ya nyota
  • MWANDAZI
    mtu anayepika chakula kwa ajili ya shughuli za fulani k.v-sherehe,karamu nk
  • MNYAPARA/MSIMAMIZI
    mtu anayeangalia au kusimamia utekelezaji wa kazi
  • MKADIMU
    msimamizi mkuu wa shamba
  • NOKOA
    msaidizi wa mkadimu
  • MHADHIRI
    mwalimu katika chuo kikuu au chuo cha kadri anayefundisha kwa kutoa mhadhara
  • MJUME
    fundi wa kutia nakshi katika vyombo kama vile vya madini au mbao
  • TARISHI/MJUMBE/KATIKIRO/MESENJA
    mtu anayefanya kazi ya kutumwa kupeleka barua au ujumbe kutoka ofisi moja hadi nyingine au mahali mbalimbali
  • MSHENGA
    mtu anayetumwa kupeleka ujumbe au habari za kuoa-posa kutoka upande wa mchumba-mume kwa upande wa mke-mchumbiwa
  • DAKTARI/TABIBU/MGANGA
    mtu stadi katika masuala ya kuwatibu wagonjwa
  • DAKTARIMENO/MHAZIGIMENO
    huyu ni daktari wa meno
  • KULI/MPAKUZI/MPAKIZI
    mtu anayefanya kazi ya kupakua na kupakia mizigo kwenye meli,gari,bohari au mahali panapostahili
  • MSUSI/MSONZI
    anayesuka watu nywele
  • MWASHI
    mtu anayejenga nyumba za mawe;anayeaka
  • SAKUBIMBI
    mtu mwenye tabia za kueneza habari za watu za uongo
  • JASUSI/MPELELEZI/NDUNZI/DUZI/MTESI
    mtu anayechunguza watu kibubusa na matukio fulani katika nchi yake au nyingine
  • KIBARAKA/KIKARAGOSI
    kiongozi wa serikali anayetumiwa ili apate mamlaka au manufaa zaidi
  • MUALISAJI/MUUGUZI/NESI
    anayehudumia wagonjwa
  • BALOZI
    kiongozi wa kidiplomasia anayewakilisha nchi yake katika nchi nyingine
  • MLANGUZI
    mtu anayenunua bidhaa kwa bei rahisi na kuviuza kwa bei ghali
  • BEPARI
    mfanyabiashara mkubwa mwenye kumiliki rasilimali au mali na njia kuu za uchumi
  • MFINYANZI
    mtu anayeunda vyombo vya udongo k.v-vyungu,kauri nk
  • DIWANI
    mtu anayewakilisha watu wake katika serikali za mitaa
  • MKALIMANI/MTARIJUMANI/MTAPTA
    anayetafsiri lugha
  • SEREMALA
    fundi au stadi anayetengeza vifa vya mbao au fanicha au samani
  • MWADHINI
    mtu anayewaita watu msikitini kwa swala
  • TOPASI/CHURA
    mtu anayefanya kazi ya usafi wa choo
  • DOBI
    anayeosha nguo au kuzipiga pasi
  • SOGORA
    stadi wa kucheza ngoma Kwa kutumia mkwiro.
  • MWANGALIZI
    mtu anayefanya kazi ya utunzaji na uhifadhi wa vitu ili visiharibike au mambo yasiende kombo
  • MWANGUZI
    mtu afanyaye kazi ya kuangusha matunda k.v-nazi kutoka kwenye mnazi
  • MWANAFASIHI
    mtu anayefanya kazi ya uandishi wa sanaa ya fasihi
  • MWANAMKENDE/KISABALUU/KIBERENGE/KAHABA/MALAYA/KIBIRITINGOMA/CHANGUDOA/MTALALESHI/MLUPO/GUBERI
    mwanamke anayefanya kazi ya kujiuza au kuuza mwili wake kwa wanaume kwa ajili ya kupata pesa
  • MNDEWA/JUMBE
    mtu ambaye ni kiongozi wa jamii yake,pia huitwa balozi wa kijiji
  • MWANAMICHEZO
    mtu ambaye kazi yake ni michezo,mdau wa michezo
  • MWANAMASUMBWI/MWANANDONDI
    anayefanya kazi ya kupigana ndondi au ngumi
  • MWANAMUZIKI/MWIMBAJI
    mtu anayefanya kazi ya kuimba kwa kutumia zana za muziki
  • MWANARIADHA
    anayefanya kazi ya mbio;riadha.mchezaji wa riadha
  • MWANARIWAYA
    anayefanya kazi ya kuandika vitabu vya hadithi,novela au riwaya
  • MWANASARUFU
  • mtu ambaye kazi yake hushughulikia taaluma ya sarufi
  • MWANASAYANSI
    mtu ambaye kazi yake inashughulikia uchunguzi,upimaji,majaribi
  • UTEDI
    mtumishi wa cheo kidogo afanyaye kazi katika chombo cha bahari k.v kukiosha na kuwapa watu chakula
  • MAMANTILIE
    mtu hasa wa kike anayeuza chakula magengeni au nyumbani
  • MAMLUKI
    huyu ni askari wa kukodiwa ili kupigana katika nchi jirani
  • HARAMIA
    huyu ni mnyang’anyi wa baharini.Gaidi wa baharini.
  • MAKANIKA
    fundi wa kutengeneza magari,mashine,Injini,Meli,pikipiki au mitambo ya vyuma(Chuma)
  • MANAMBA
    wafanyakazi wahamiaji katika mashamba makubwa
  • MCHINJAJI
    mtu anayefanya kazi ya kuchinja wanyama na kuwauza kwenye bucha
  • MCHORAJI
    mtu anayefanya kazi ya kuchora picha
  • LUGOJO
    watu wanaolinda kwa zamu
  • MFAGIZI/MFAGIAJI
    mtu anayefagia
  • MFARISHI
    mtu anayefanya kazi ya kutandika kitanda
  • MRINA
    fundi stadi wa kuvuna na kupakua asali
  • RUGARUGA
    mtu ambaye anafanya kazi chini ya amri ya chifu
  • KIBICHAMBO
    mtu hasa wa kike anayetumiwa kufanya kazi ya kunasa adui wa upande hasimu
  • FUNDIBOMBA
    mtu atengenezaye mifereji ya maji na kuunganisha paipu za mifereji na mitaro(PLUMBER)
  • MKWEZI
    anayepanda au kuaramia miti kv minazi na kuangua nazi
  • MFUANAZI
    mtu anayetoa makumbi kwenye nazi
  • KOSTEBO
    Afisa katika kikosi Cha usalama wa Umma kama vile Polisi,Jeshi nk asiye na cheo
  • MWALIMU/MDARISI/USTADH
    Mtu anayefundisha
  • NAHODHA
    mtu anayeendesha meli
  • SARAHANGI
    mtu anayemsaidia nahodha(nahodha wa pili)
  • KANDAWALA
    mtu anayeendesha garimoshi
  • DEREVA
    mtu anayeendesha gari
  • RUBANI
    mtu anayeendesha ndege
  • SAISI
    mtu anayefanya kazi ya kuchunga wanyama wanaopandwa kama vile Farasi,Punda,Ngamia n.k
  • MZEGAMZEGA
    mtu anayeuza maji kwa kuyatembeza
  • MGEMA
    mtu anayefanya kazi kukinga tembo la mnazi au kuchanja magome ili kupata utomvu au kutengeneza ulimbo
  • DALALI/MNADI
    mtu anayeuza bidhaa mnadani kwa kutangaza;**Zabuni-uza kwa kushindanisha bei
  • MACHINGA/MMACHINGA
    mtu anayefanya kazi ya biashara kwa kutembeza bidhaa zake aghalabu kwa miguu ili kuwatafuta wateja mf.’Malimali’
  • MCHUKUZI/HAMALI/MPAGAZI
    mtu anayefanya kazi ya kubeba mizigo kwa kutumia rukwama,toroli,bero/baro nk
  • MCHUUZI
    mtu afanyaye kazi ya biashara ya kuuza vitu rejareja mf.Hawker!
  • MKUNGA
    mtu anayewasaidia wanawake kukopoa au kujifungua
  • NGARIBA
    mtu anayetahiri vijana jandoni au unyagoni
  • MHASIBU
    Mtu anayefanya kazi ya kusimamia fedha katika kampuni,shule,chuo,Benki,Kikundi au chama
  • KESHIA
    Mtu anayepokea malipo na kuandikia wanaolipa stakabadhi au risiti ya malipo
  • MWANASAYANSI
    mtu ambaye kazi yake inashughulikia uchunguzi,ugunduzi,upimaji,majaribio na kuthibitishwa kwa muda uliopo
  • MWANASOKA
    mtu anayefanya kazi ya kucheza mpira wa miguu,soka,kabumbu,gozi au kandanda
  • MTAALAMU
    mtu anayefanya kazi taaluma aliyotaalamika ndani yake
  • MWANATAMTHILIA/MWANATAMTHILIYA
    mtu anayefanya kazi ya kuandika michezo ya kuigiza
  • MWANAHABARI/MTANGAZAJI
    mtu anayefanya kazi ya kutafuta,kuandika,kukusanya,kuhari na kutangaza au kusambaza taarifa au habari katika vyombo vya habari
  • MWANALEKSIKOLOGRAFIA
    mtu anayefanya kazi inayoshughulikia uchunguzi,uchambuzi na uchanganuzi wa msamiati wa lugha pamoja na maana yake
  • MLEHEMAJI
    mtu anayefanya kazi ya kuunganisha vitu hasa vyuma kwa kutumia madini aghalabu kwa kutumia risasi(WELDER)
  • MWANALEKSIKOGRAFIA
    mtu anayefanya kazi ya kuandika Kamusi
  • MSHAURINASAHA
  • mtu anayefanya kazi ya kutoa ushauri au nasaha kwa watu
  • MCHANGANUZI
    mtu afanyaye kazi ya kuchanganua masuala tofautitofauti.
  • MSWIRIZI
    Mtaalamu wa kufuga na kucheza na wanyama hayawani kama vile Nyoka,Nyani,Sokwe nk. (SNAKE CHARMER)
  • MHAKIKIMALI
    anayefanya kazi ya kuhakiki ubora wa bidhaa
  • MWAMIAJI/MWAMIZI
    afanyaye kazi ya kuamia ndege shamba
  • MWAMUZI
    anayesuluhisha ugomvi baina ya pande mbili au zaidi
  • REFA/MWAMUZI
    anayechezesha mchezo kulingana na sheria za mchezo husika
  • MWANAANGA
    afanyaye kazi ya utafiti wa mambo ya anga
  • MWANABAYOLOJIA
    mtaalamu wa masuala ya maisha na uhai wa viumbe na mimea
  • MWANADIPLOMASIA
    mtu anayefanya kazi kv katika ubalozi
  • MWANAGAINOKOLOJIA
    mtaalamu wa maradhi ya akina mama
  • MWANAISIMU
    mtaalamu wa masuala ya isimu na lugha
  • MWANAJESHI
    askari katika jeshi la ulinzi
  • MWANAMAJI/BAHARIA/MWANAPWA
    mtu anayefanya kazi katika chombo cha baharini
  • MWANASHERIA
    mtu utaalamu wa mambo ya sheria
  • MWANASIASA
    mtu anayejishughulisha na mambo ya siasa
  • MSHAIRI/MTUNZI/MALENGA
    mtu afanyaye kazi ya kutunga mashairi/nudhuma
  • MGHANI/MANJU
    gwiji katika kuimba mashairi
  • RAWI
    stadi katika kukariri au kusoma shairi bila kuimba
  • SHAHA
    mtu stadi katika kuhariri mashairi
  • MHARIRI
    stadi katika kusoma na kukosoa kazi ilioandikwa na mtu mwengine!
  • MNUNGURI/MKONOKONO
    mganga anayewatibu walioumwa na nyoka
  • MGIMBA
    mganga anayeaminika kuwezesha mvua kunyesha au kuizuia kimuujiza
  • MGAGAJI
    mtu anayefanya biashara ya kuwauzia watu bidhaa kwa bei za juu sana kidhuluma
  • MHAZIGI/MGANGAJI
    mtu mwenye ujuzi wa kutibu viungo vya mwili vilivyovunjika. Daktari wa mifupa na nyonga za mwili.
  • MGUNDUZI
    mtu anayefanya kazi ya kugundua na kudhihirisha kitu au jambo lililokuwa limejificha au lililokuwa halijulikani
  • SHUSHUSHU
    mtu anayepeleleza maisha ya watu kwa niaba ya serikali-afisa wa usalama wa taifa(SPY)
  • KUWADI/GAWADI/KIJUMBE/GAMBERA/MTALALESHI/KIBIRIKIZI
    mtu anayepeleleza habari za siri kutoka kwa mtu fulani kuenda kwa mwengine hasa kati ya mwanamke na mwanamume
  • MSASI/MRUMBA/MWINDAJI/MKAA
    mtu anayewinda wanyama msituni akiwa na idhini
  • KIJAKAZI/MJAKAZI/KISONOKO
    mtumwa mwanamke katika nyumba;mwanamke au msichana anayefanya kazi ya nyumba
  • JANGILI
    mtu anawinda wanyama katika mbuga za wanyama bila ya idhini ya serikali
  • JEMEDARI/AMIRI
    mkuu wa majeshi
  • JAMBAZI
    mtu anayefanya kazi ya wizi Kwa kuua akitumia Silaha hatari kama vile bunduki,Bastola nk.
  • MCHOPOZI/MCHOPOAJI
    mtu anayeiba kwa kutoa mfukoni au mkobani kwa kutumia vidole viwili kisirisiri
  • MNYANG’ANYI
    mtu anayeiba kwa kunyang’anya hadharani na guvu
  • SAJINI/SAJENTI
    askari mwenye cheo kilicho daraja moja zaidi kuliko koplo
  • KOPLO
    afisa wa jeshi au polisi aliye chini ya sajini na juu ya Konstebo-Mwandamizi
  • LUTENI
    ofisa wa kijeshi aliye chini ya kapteni na juu ya luteni usu
  • KAPTENI
    ofisa wa jeshi kati ya luteni na meja
  • MEJA
    ofisa wa jeshi mwenye cheo cha chini yd lutenikanali na juu ya kapteni
  • MEJAJENERALI
    ofisa wa jeshi aliye juu ya brigediajenerali na chini lutenijenerali
  • BRIGEDIA
    ofisa wa kijeshi mwenye cheo cha juu ya kanali na chini ya mejajenerali
  • LUTENI-JENERALI
    ofisa wa jeshi mwenye cheo cha juu ya meja-jenerali na chini ya jenerali
  • LUTENIKANALI
    ofisa wa jeshi mwenye cheo cha juu ya meja na chini ya kanali
  • KANALI
    ofisa wa jeshi aliye juu ya lutenikanali
  • LUTENIUSU
    ofisa wa cheo cha kwanza chini ya luteni
  • OFISAUGANI/AFISAUGANI
    ofisa mwenezi wa taarifa au maarifa fulani uwandani.
  • MHAKIKIMALI
    anayefanya kazi ya kuhakiki ubora wa bidhaa Kabla havijaenda sokoni Kwa mauzo
  • MWAMIAJI/MWAMIZI
    afanyaye kazi ya kuamia ndege kwenye shamba la vyakula
  • MSHAIRI/MTUNZI/MALENGA
    mtu afanyaye kazi ya kutunga mashairi/nudhuma
  • MGHANI/MANJU
    gwiji katika kuimba mashairi
  • RAWI
    stadi katika kukariri au kusoma shairi bila kuimba
  • SHAHA
    mtu stadi katika kuhariri mashairi
  • MHARIRI
    stadi katika kusoma na kukosoa kazi ilioandikwa na mtu mwengine!
  • KARII
    mtu anayesoma Kurani hasa Tajuwidi
  • KONDAKTA/TANIBOI/UTINGO/MAKANGA
    mtu anayepokea nauli kwenye gari pia hupakia na kupakua mizigo kwenye matwana,daladala au matatu
  • MSUKAJI
    mtu anayeshona,kutarizi au kufuma mkeka,jamvi,kanda au vikapu
  • BOSI/TAJIRI
    mkuu wa ofisi anayeajiri watu katika kazi
  • MRAMALI
    mtu anayetabiri mambo kwa kuvmia elimu ya nyota
  • MRATIBU
    mtu anayepanga,kuunganisha na kusimamia shughuli za watu mbalimbali katika kazi au ofisi
  • HATIBU
    mtu anayetoa hotuba kwa hadhira au hadhara(SpeechMaker.) **Mtu anayefanya kazi ya Kuzungumza Kwa Niaba ya kampuni,shirika, Serikali,chama,Kikundi au muungano(SPOKESPERSON)
  • BAYANA
    mtu stadi au fundi wa kusema,kuongea au kuhutubu kwa kutumia ujuzi wa lugha
  • MRASIMU
    mtu anayefanya kazi ya afisi na kulingana na taratibu na kanuni za utawala
  • WADENI
    Afisa mwenye dhamana ya kusimamia mahali k.v-mbuga za wanyama,hoteli,misitu,magereza(WARDEN/GAMEPAEK RANGER)
  • WAKALA/AJENTI
    mwakilishi wa kampuni,shirika au shughuli ya kibiashara
  • WARIA
    mtu aliye hodari katika kazi za mikono mf.ushonaji,uashi,uchongaji nk(ARTISAN)
  • UTEDI
    mtumishi wa cheo kidogo afanyaye kazi katika chombo cha bahari.
  • GADI/BAWABU/MLINZI/ASKARIGONGO
    Afisa wa usalama wa kibinafai anayefanya kazi ya Kulinda Uhai na Mali ya tajiri.
  • HADIMU
    Mtu anayefanya kazi ya kuwahhdumia wateja katika hoteli,mkahawa,mgahawa,dukani,supamaketi nk(WAITER)
  • NESI
    Mhudumu Afya anayewashughulikia wagonjwa katika hospitali au nyumbani.
  • MCHOPOZI/MCHOPOAJI
    mtu anayeiba kwa kutoa mfukoni au mkobani kwa kutumia vidole viwili kisirisiri
  • MNYANG’ANYI
    mtu anayeiba kwa kunyang’anya hadharani na guvu
  • SAJINI
    askari mwenye cheo kilicho daraja moja zaidi kuliko koplo
  • KOPLO
    afisa wa jeshi au polisi aliye chini ya sajini
  • LUTENI
    ofisa wa kijeshi aliye chini ya kapteni na juu ya luteni usu
  • KAPTENI
    ofisa wa jeshi kati ya luteni na meja
  • MEJA
    ofisa wa jeshi mwenye cheo cha chini yd lutenikanali na juu ya kapteni
  • MEJAJENERALI
    ofisa wa jeshi aliye juu ya brigediajenerali na chini lutenijenerali
  • BRIGEDIA
    ofisa wa kijeshi mwenye cheo cha juu ya kanali na chini ya mejajenerali
  • LUTENI-JENERALI
    ofisa wa jeshi mwenye cheo cha juu ya meja-jenerali na chini ya jenerali
  • LUTENIKANALI
    ofisa wa jeshi mwenye cheo cha juu ya meja na chini ya kanali
  • KANALI
    ofisa wa jeshi aliye juu ya lutenikanali
  • LUTENIUSU
    ofisa wa cheo cha kwanza chini ya luteni
  • OFISAUGANI/AFISAUGANI
    ofisa mwenezi wa taarifa au maarifa fulani uwandani
  • Madhara ya Simu za Rununu: Athari za Matumizi Mabaya
    Jifunze kuhusu madhara ya matumizi mabaya ya simu za rununu, ikiwa ni pamoja na athari za kiafya, kupoteza muda, kutengwa kijamii, usalama wa faragha, na utegemezi wa simu. Pata mwongozo wa matumizi sahihi ya simu za rununu ili kuepuka madhara yasiyohitajika.
  • Ushauri Nasaha katika Shule za Sekondari: Kuimarisha Ustawi na Maendeleo ya Wanafunzi
    Ushauri nasaha ni mchakato wa kutoa mwongozo, ushauri, na msaada kwa watu katika kufikia malengo yao binafsi, kijamii, na kitaaluma. Ushauri nasaha una umuhimu mkubwa katika shule za sekondari kwa sababu inasaidia kuboresha ukuaji na maendeleo ya wanafunzi. Hapa chini nitaelezea umuhimu wa ushauri nasaha katika shule za sekondari.
  • KCSE 2013 Past Papers: Kiswahili Paper 2 (102/2)
    Kiswahili Paper 2 is a past paper from the KCSE (Kenya Certificate of Secondary Education) examination in 2013. This paper is an important resource for students preparing for their exams, as it provides them with an opportunity to practice answering questions in Kiswahili. It covers various topics such as comprehension, composition, and grammar. The paper… Read more: KCSE 2013 Past Papers: Kiswahili Paper 2 (102/2)
  • KCSE 2013 Past Papers: Kiswahili Paper 1 (102/1)
    The Kiswahili Paper 1 Answers for the KCSE 2013 examination provide a comprehensive and detailed analysis of the questions and their corresponding answers. This review aims to give viewers an overview of the content and encourage them to consider purchasing the answers for their own reference. The answers are structured in a clear and organized… Read more: KCSE 2013 Past Papers: Kiswahili Paper 1 (102/1)
  • KCSE 2013 Past Papers: Kiswahili Paper 3 (102/3)
    Kiswahili Paper 3 (102/3) is a past paper from the KCSE 2013 exams. This paper focuses on Fasihi Simulizi, specifically on the topic of Vitanza Ndimi. Vitanza Ndimi refers to phrases or sentences that have similar or closely related sounds, making them difficult to pronounce. They are often formed by repeating words or using similar… Read more: KCSE 2013 Past Papers: Kiswahili Paper 3 (102/3)
  • KCSE USHAIRI REVISION: MASWALI NA MAJIBU
    KCSE USHAIRI REVISION: MASWALI NA MAJIBU Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 181 Related posts: ​KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE USHAIRI REVISION QUESTIONS MODEL07052023007 KCSE BIOLOGY PAPER 3 FORM 4 REVISION KIT 2023 MODEL2492017 KCSE PHYSICS PAPER… Read more: KCSE USHAIRI REVISION: MASWALI NA MAJIBU
  • MAUDHUI NA SIFA ZA WAHUSIKA KATIKA BEMBEA YA MAISHA
    MAUDHUI NA SIFA ZA WAHUSIKA KATIKA BEMBEA YA MAISHA SEHEMU YA KWANZA ONYESHA YA 1, 2, 3   Maudhui ni jumla ya mawazo yote inaozungumzwa katika tamthilia Katika tamthilia ya bembea ya maisha tunapata maudhui mbalimbali ambao hujitoke katika sehemu tofauti. Katika sehemu ya kwanza tunapata Yona anaoa Sara na kuishi pamoja Ndoa ya Yona… Read more: MAUDHUI NA SIFA ZA WAHUSIKA KATIKA BEMBEA YA MAISHA
  • KISWAHILI LUGHA NOTES
    UPDATED KISWAHILI LUGHA NOTES Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 137 Related posts: WATU NA KAZI ZAO KCPE PAST PAPERS 2009 KISWAHILI QUESTIONS AND ANSWERS KISWAHILI PAPER 3 Q MODEL20012023004 KISWAHILI PAPER 1 Q MODEL20012023004 KISWAHILI PAPER 2 Q MODEL20012023004 KCPE 2006 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER KCSE… Read more: KISWAHILI LUGHA NOTES
  • KISWAHILI PAPER 2 FORM 4 TERM 2 REVISION KIT 2023 QUESTIONS WITH ANSWERS MODEL27082023011
    KISWAHILI PAPER 2 FORM 4 TERM 2 REVISION KIT 2023 QUESTIONS WITH ANSWERS Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 625 Related posts: ​KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES FORM 4 AGRICULTURE PAPER 1… Read more: KISWAHILI PAPER 2 FORM 4 TERM 2 REVISION KIT 2023 QUESTIONS WITH ANSWERS MODEL27082023011
  • KCSE FINAL PREDICTION KISWAHILI MODEL23082023004
    KCSE FINAL PREDICTION KISWAHILI Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 500 Related posts: ​KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES FORM 4 AGRICULTURE PAPER 1 AND 2 REVISION KITS IN PREPARATIONS OF KCSE EXAMINATIONS… Read more: KCSE FINAL PREDICTION KISWAHILI MODEL23082023004
  • TUMBO LISILOSHIBA QUESTIONS FOR REVISION
    TUMBO LISILOSHIBA QUESTIONS FOR REVISION Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 13 Related posts: ​KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES FORM 4 AGRICULTURE PAPER 1 AND 2 REVISION KITS IN PREPARATIONS OF KCSE… Read more: TUMBO LISILOSHIBA QUESTIONS FOR REVISION
  • ISIMU JAMII REVISION KIT
    ISIMU JAMII REVISION KIT Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 285 Related posts: ​KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES FORM 4 AGRICULTURE PAPER 1 AND 2 REVISION KITS IN PREPARATIONS OF KCSE EXAMINATIONS… Read more: ISIMU JAMII REVISION KIT
  • BEMBEA YA MAISHA MWONGOZO
    BEMBEA YA MAISHA MWONGOZO Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 716 Related posts: KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES KCPE PAST PAPERS 2007 MATHEMATICS QUESTIONS AND ANSWERS CRE Standard 8 Notes KCPE PAST PAPERS 2006 ENGLISH GRAMMAR QUESTION PAPER AND ANSWERS KCPE PAST PAPERS 2007 ENGLISH GRAMMAR… Read more: BEMBEA YA MAISHA MWONGOZO
  • BEMBEA YA MAISHA
    MAUDHUI NA SIFA ZA WAHUSIKA KATIKA BEMBEA YA MAISHA SEHEMU YA KWANZA ONYESHA YA 1, 2, 3 Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 358 Related posts: WATU NA KAZI ZAO MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO A COMPREHENSIVE STUDY GUIDE KCPE PAST PAPERS 2006 KISWAHILI LUGHA MASWALI NA… Read more: BEMBEA YA MAISHA
  • MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO
    MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 857 Related posts: MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO A COMPREHENSIVE STUDY GUIDE HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM 4-2022 MAPAMBAZUKO YA MACHWEO POSSIBLE KCSE QUESTIONS MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO NA… Read more: MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO
  • KCSE 2022 KISWAHILI INSHA QUESTION PAPER 1
    KCSE 2022 KISWAHILI INSHA QUESTION PAPER 1 Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 254 Related posts: ​KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM… Read more: KCSE 2022 KISWAHILI INSHA QUESTION PAPER 1
  • KCSE 2022 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER 2
    KCSE 2022 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER 2 Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 494 Related posts: ​KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM… Read more: KCSE 2022 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER 2
  • KCSE 2022 KISWAHILI FASIHI QUESTION PAPER 3
    KCSE 2022 KISWAHILI FASIHI QUESTION PAPER 3 Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 1,171 Related posts: ​KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM… Read more: KCSE 2022 KISWAHILI FASIHI QUESTION PAPER 3
  • GRADE 3 EXAMINATIONS KISWAHILI ACTIVITIES
    GRADE 3 EXAMINATIONS KISWAHILI ACTIVITIES Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 45 Related posts: KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES CHRISTIANS APPROACHES TO LEISURE WATU NA KAZI ZAO CRE Standard 8 Notes KCPE 2007 KISWAHILI PAST PAPER KISWAHILI PAPER 3 Q MODEL20012023004 KISWAHILI PAPER 1 Q MODEL20012023004… Read more: GRADE 3 EXAMINATIONS KISWAHILI ACTIVITIES
  • KCSE 2022 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER 2
    KCSE 2022 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER 2 Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 1,314 Related posts: ​KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM… Read more: KCSE 2022 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER 2
  • KCSE 2022 KISWAHILI FASIHI QUESTION PAPER 3
    KCSE 2022 KISWAHILI FASIHI QUESTION PAPER 3 Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 260 Related posts: ​KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM… Read more: KCSE 2022 KISWAHILI FASIHI QUESTION PAPER 3
  • KISWAHILI PAPER 3 Q MODEL20012023004
    KISWAHILI PAPER 3 Q MODEL20012023004 Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 814 Related posts: HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM 4-2022 KISWAHILI PAPER 1 Q MODEL20012023004 KISWAHILI PAPER 2 Q MODEL20012023004 ​KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING… Read more: KISWAHILI PAPER 3 Q MODEL20012023004
  • KISWAHILI PAPER 2 Q MODEL20012023004
    KISWAHILI PAPER 2 Q MODEL20012023004 Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 229 Related posts: HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM 4-2022 KISWAHILI PAPER 3 Q MODEL20012023004 KISWAHILI PAPER 1 Q MODEL20012023004 ​KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING… Read more: KISWAHILI PAPER 2 Q MODEL20012023004
  • KISWAHILI PAPER 1 Q MODEL20012023004
    KISWAHILI PAPER 1 Q MODEL20012023004 Tell your Besties … Facebook Twitter Linkedin Tumblr Reddit Pinterest Whatsapp Telegram Post Views: 166 Related posts: HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM 4-2022 KISWAHILI PAPER 3 Q MODEL20012023004 KISWAHILI PAPER 2 Q MODEL20012023004 ​KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING… Read more: KISWAHILI PAPER 1 Q MODEL20012023004
Print Friendly, PDF & Email
people found this article helpful. What about you?

0 0 votes
Article Rating
Subscribe
Notify of
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x