- MWANGALIZI
mtu anayefanya kazi ya utunzaji na uhifadhi wa vitu ili visiharibike au mambo yasiende kombo - MWANGUZI
mtu afanyaye kazi ya kuangusha matunda k.v-nazi kutoka mtini - MWANAFASIHI
mtu anayefanya kazi ya uandishi wa sanaa ya fasihi - MWANAMKENDE/KISABALUU/KIBERENGE/KAHABA/MALAYA/KIBIRITINGOMA/CHANGUDOA/MTALALESHI/MLUPO/GUBERI
mwanamke anayefanya kazi ya kujiuza au kuuza mwili wake kwa wanaume kwa ajili ya kupata pesa - MNDEWA/JUMBE
mtu ambaye ni kiongozi wa jamii yake,pia huitwa balozi wa kijiji - MWANAMICHEZO
mtu ambaye kazi yake ni michezo,mdau wa michezo - MWANAMASUMBWI/MWANANDONDI
anayefanya kazi ya kupigana ndondi au ngumi - MWANAMUZIKI/MWIMBAJI
mtu anayefanya kazi ya kuimba kwa kutumia zana za muziki - MWANARIADHA
anayefanya kazi ya mbio;riadha.mchezaji wa riadha - MWANARIWAYA
anayefanya kazi ya kuandika vitabu vya hadithi,novela au riwaya - MWANASARUFU
mtu ambaye kazi yake hushughulikia taaluma ya sarufi - MWANASAYANSI
mtu ambaye kazi yake inashughulikia uchunguzi,upimaji,majaribi
- UTEDI
mtumishi wa cheo kidogo afanyaye kazi katika chombo cha bahari k.v kukiosha na kuwapa watu chakula - MAMANTILIE
mtu hasa wa kike anayeuza chakula magengeni au nyumbani - MAMLUKI
huyu ni askari wa kukodiwa ili kupigana katika nchi jirani - HARAMIA
huyu ni mnyang’anyi wa baharini.Gaidi wa baharini. - MAKANIKA
fundi wa kutengeneza magari au mashine - MANAMBA
wafanyakazi wahamiaji katika mashamba makubwa - MCHINJAJI
mtu anayefanya kazi ya kuchinja wanyama na kuwauza kwenye bucha - MCHORAJI
mtu anayefanya kazi ya kuchora picha - LUGOJO
watu wanaolinda kwa zamu - MFAGIZI/MFAGIAJI
mtu anayefagia - MFARISHI
mtu anayefanya kazi ya kutandika kitanda - MRINA
fundi stadi wa kupakua asali - RUGARUGA
mtu ambaye anafanya kazi chini ya amri ya chifu - KIBICHAMBO
mtu hasa wa kike anayetumiwa kufanya kazi ya kunasa adui wa upande hasimu - FUNDIBOMBA
mtu atengenezaye mifereji ya maji - MKWEZI
anayepanda au kuaramia miti kv minazi na kuangua nazi - MFUANAZI
mtu anayetoa makumbi kwenye nazi - KOSTEBO
polisi wa cheo cha chini…
- MNAJIMU/FALAKI/MAJUSI
mwenye elimu na stadi wa masuala ya nyota - MWANDAZI
mtu anayepika chakula kwa ajili ya shughuli za fulani k.v-sherehe,karamu nk - MNYAPARA/MSIMAMIZI
mtu anayeangalia au kusimamia utekelezaji wa kazi - MKADIMU
msimamizi mkuu wa shamba - NOKOA
msaidizi wa mkadimu - MHADHIRI
mwalimu katika chuo kikuu au chuo cha kadri anayefundisha kwa kutoa mhadhara - MJUME
fundi wa kutia nakshi katika vyombo kama vile vya madini au mbao - TARISHI/MJUMBE/KATIKIRO/MESENJA
mtu anayefanya kazi ya kutumwa kupeleka barua au ujumbe kutoka ofisi moja hadi nyingine au mahali mbalimbali - MSHENGA
mtu anayetumwa kupeleka ujumbe au habari za kuoa-posa kutoka upande wa mchumba-mume kwa upande wa mke-mchumbiwa - DAKTARI/TABIBU/MGANGA
mtu stadi katika masuala ya kuwatibu wagonjwa - DAKTARIMENO/MHAZIGIMENO
huyu ni daktari wa meno - KULI/MPAKUZI/MPAKIZI
mtu anayefanya kazi ya kupakua na kupakia mizigo kwenye meli,gari,bohari au mahali panapostahili - MSUSI/MSONZI
anayesuka watu nywele - KARII
msomaji wa Kurani
- MWALIMU/MDARISI/USTADH
Mtu anayefundisha - NAHODHA
mtu anayeendesha meli - SARAHANGI
mtu anayemsaidia nahodha(nahodha wa pili) - KANDAWALA
mtu anayeendesha garimoshi - DEREVA
mtu anayeendesha gari - RUBANI
mtu anayeendesha ndege - SAISI
mtu anayefanya kazi ya kuchunga wanyama wanaopandwa kama vile Farasi,Punda,Ngamia n.k - MZEGAMZEGA
mtu anayeuza maji kwa kuyatembeza - MGEMA
mtu anayefanya kazi kukinga tembo la mnazi au kuchanja magome ili kupata utomvu au kutengeneza ulimbo - DALALI/MNADI
mtu anayeuza bidhaa mnadani kwa kutangaza;**Zabuni-uza kwa kushindanisha bei - MACHINGA/MMACHINGA
mtu anayefanya kazi ya biashara kwa kutembeza bidhaa zake aghalabu kwa miguu ili kuwatafuta wateja mf.’Malimali’ - MCHUKUZI/HAMALI/MPAGAZI
mtu anayefanya kazi ya kubeba mizigo kwa kutumia rukwama,toroli,bero/baro nk - MCHUUZI
mtu afanyaye kazi ya biashara ya kuuza vitu rejareja mf.Hawker! - MKUNGA
mtu anayewasaidia wanawake kukopoa au kujifungua - NGARIBA
mtu anayetahiri vijana jandoni au unyagoni - MHASIBU
Mtu anayefanya kazi ya upimaji wa hali ya kifedha ya shirika au biashara, Mtaalamu wa kuweka hesabu za fedha. ‘Accountant‘
- MHAKIKIMALI
anayefanya kazi ya kuhakiki ubora wa bidhaa - MWAMIAJI/MWAMIZI
afanyaye kazi ya kuamia ndege shamba - MWAMUZI
anayesuluhisha ugomvi baina ya pande mbili au zaidi - REFA/MWAMUZI
anayechezesha mchezo kulingana na sheria za mchezo husika - MWANAANGA
afanyaye kazi ya utafiti wa mambo ya anga - MWANABAYOLOJIA
mtaalamu wa masuala ya viumbe na mimea - MWANADIPLOMASIA
mtu anayefanya kazi kv katika ubalozi - MWANAGAINOKOLOJIA
mtaalamu wa maradhi ya akina mama - MWANAISIMU
mtaalamu wa masuala ya isimu na lugha - MWANAJESHI
askari katika jeshi la ulinzi - MWANAMAJI/BAHARIA/MWANAPWA
mtu anayefanya kazi katika chombo cha baharini - MWANASHERIA
mtu utaalamu wa mambo ya sheria - MWANASIASA
mtu anayejishughulisha na mambo ya siasa - MSHAIRI/MTUNZI/MALENGA
mtu afanyaye kazi ya kutunga mashairi/nudhuma - MGHANI/MANJU
gwiji katika kuimba mashairi - RAWI
stadi katika kukariri au kusoma shairi bila kuimba - SHAHA
mtu stadi katika kuhariri mashairi - MHARIRI
stadi katika kusoma na kukosoa kazi ilioandikwa na mtu mwengine!
- KARII
mtu anayesoma Kurani hasa Tajuwidi - KONDAKTA/TANIBOI/UTINGO/MAKANGA
mtu anayepokea nauli kwenye gari pia hupakia na kupakua mizigo kwenye matwana,daladala au matatu - MSUKAJI
mtu anayeshona,kutarizi au kufuma mkeka,jamvi,kanda au vikapu - BOSI/TAJIRI
mkuu wa ofisi anayeajiri watu katika kazi - MRAMALI
mtu anayetabiri mambo kwa kuvmia elimu ya nyota - MRATIBU
mtu anayepanga,kuunganisha na kusimamia shughuli za watu mbalimbali katika kazi au ofisi - HATIBU
mtu anayetoa hotuba kwa hadhira au hadhara - BAYANA
mtu stadi au fundi wa kusema,kuongea au kuhutubu kwa kutumia ujuzi wa lugha - MRASIMU
mtu anayefanya kazi ya afisi na kulingana na taratibu na kanuni za utawala - WADENI
mwenye dhamana ya kusimamia mahali k.v-mbuga za wanyama,hoteli,misitu,magereza - WAKALA/AJENTI
mwakilishi wa kampuni,shirika au shughuli ya kibiashara - WARIA
mtu aliye hodari katika kazi za mikono mf.ushonaji,uashi,uchongaji nk - UTEDI
mtumishi wa cheo kidogo afanyaye kazi katika chombo cha bahari kv-kukiosha……………..
- MWASHI
mtu anayejenga nyumba za mawe;anayeaka - SAKUBIMBI
mtu mwenye tabia za kueneza habari za watu za uongo - JASUSI/MPELELEZI/NDUNZI/DUZI/MTESI
mtu anayechunguza watu kibubusa na matukio fulani katika nchi yake au nyingine - KIBARAKA/KIKARAGOSI
kiongozi wa serikali anayetumiwa ili apate mamlaka au manufaa zaidi - MUALISAJI/MUUGUZI/NESI
anayehudumia wagonjwa - BALOZI
kiongozi wa kidiplomasia anayewakilisha nchi yake katika nchi nyingine - MLANGUZI
mtu anayenunua bidhaa kwa bei rahisi na kuviuza kwa bei ghali - BEPARI
mfanyabiashara mkubwa mwenye kumiliki rasilimali au mali na njia kuu za uchumi - MFINYANZI
mtu anayeunda vyombo vya udongo k.v-vyungu,kauri nk - DIWANI
mtu anayewakilisha watu wake katika serikali za mitaa - MKALIMANI/MTARIJUMANI/MTAPTA
anayetafsiri lugha - SEREMALA
fundi anayetengeza vifa vya mbao au fanicha au samani - MWADHINI
mtu anayewaita watu msikitini kwa swala - TOPASI/CHURA
mtu anayefanya kazi ya usafi wa choo - DOBI
anayeosha nguo au kuzipiga pasi - SOGORA
stadi wa kucheza ngoma…..
- MHASIBU
mtu anayeweka hesabu ya fedha - MHAZILI/SEKRETARI
mtu anayetunza barua na majalada ya ofisi na kuandika kwa mashine kama vile taipureta au taipu - MHANDISI/INJINIA
fundi wa mitambo hasa ya vyuma - BAWABU/GADI/MLINZI/ASKARIGONGO/SOJA
mtu anayelinda mali na maisha ya tajiri au bwenyenye kv viwanda,boma,shule,mashirika,ofisi nk kwa kuweka usalama - MKUMBIZI
mtu anayesafisha na kuondoa takataka;pia ni mtu afuataye wavunaji shambani na kuokoteza mavuno yaliyosalia na kuuza au kutumia nyumbani - MSAJILI
mtu anayeandikisha vifo,kura na kuweka orodha ya kazi au vitu alivyokabidhiwa - SONARA/MFUAFEDHA
fundi wa kutengeneza mapambo k.v-pete,kekee,mkufu,bangili,kikero n.k - MSANA/MHUNZI/MFUACHUMA
mtu anayefanya kazi ya kufua vitu vya madini ya chuma au bati k.v-visu,sufuria,majembe,seredani,ndusi,panga nk - MUKUTUBI/MKUTUBU
mtu anayefanya kazi ya kuhifadhi vitabu na kuviazimisha kwa wasomi - AKIDU
mtu anayefanya kazi kwa mkatabani - MUTRIBU
mtu anayeimba nyimbo za taarabu - MWASHI
anayejenga nyumba….
- MWANASAYANSI
mtu ambaye kazi yake inashughulikia uchunguzi,ugunduzi,upimaji,majaribio na kuthibitishwa kwa muda uliopo - MWANASOKA
mtu anayefanya kazi ya kucheza mpira wa miguu,soka,kabumbu,gozi au kandanda - MTAALAMU
mtu anayefanya kazi taaluma aliyotaalamika ndani yake - MWANATAMTHILIA/MWANATAMTHILIYA
mtu anayefanya kazi ya kuandika michezo ya kuigiza - MWANAHABARI/MTANGAZAJI
mtu anayefanya kazi ya kutafuta,kuandika,kukusanya,kuhari na kutangaza au kusambaza taarifa au habari katika vyombo vya habari - MWANALEKSIKOLOGRAFIA
mtu anayefanya kazi inayoshughulikia uchunguzi,uchambuzi na uchanganuzi wa msamiati wa lugha pamoja na maana yake - MLEHEMAJI
mtu anayefanya kazi ya kuunganisha vitu hasa vyuma kwa kutumia madini aghalabu kwa kutumia risasi - MWANALEKSIKOGRAFIA
mtu anayefanya kazi ya kuandika Kamusi - MSHAURINASAHA
mtu anayefanya kazi ya kutoa ushauri au nasaha kwa watu - MCHANGANUZI
mtu afanyaye kazi ya kuchanganua masuala tofautitofauti.
Kwa hayo machache sina cha ziada.Je,una nini mdau?
- MNAJIMU/FALAKI/MAJUSI
mwenye elimu na stadi wa masuala ya nyota - MWANDAZI
mtu anayepika chakula kwa ajili ya shughuli za fulani k.v-sherehe,karamu nk - MNYAPARA/MSIMAMIZI
mtu anayeangalia au kusimamia utekelezaji wa kazi - MKADIMU
msimamizi mkuu wa shamba - NOKOA
msaidizi wa mkadimu - MHADHIRI
mwalimu katika chuo kikuu au chuo cha kadri anayefundisha kwa kutoa mhadhara - MJUME
fundi wa kutia nakshi katika vyombo kama vile vya madini au mbao - TARISHI/MJUMBE/KATIKIRO/MESENJA
mtu anayefanya kazi ya kutumwa kupeleka barua au ujumbe kutoka ofisi moja hadi nyingine au mahali mbalimbali - MSHENGA
mtu anayetumwa kupeleka ujumbe au habari za kuoa-posa kutoka upande wa mchumba-mume kwa upande wa mke-mchumbiwa - DAKTARI/TABIBU/MGANGA
mtu stadi katika masuala ya kuwatibu wagonjwa - DAKTARIMENO/MHAZIGIMENO
huyu ni daktari wa meno - KULI/MPAKUZI/MPAKIZI
mtu anayefanya kazi ya kupakua na kupakia mizigo kwenye meli,gari,bohari au mahali panapostahili - MSUSI/MSONZI
anayesuka watu nywele - MWASHI
mtu anayejenga nyumba za mawe;anayeaka - SAKUBIMBI
mtu mwenye tabia za kueneza habari za watu za uongo - JASUSI/MPELELEZI/NDUNZI/DUZI/MTESI
mtu anayechunguza watu kibubusa na matukio fulani katika nchi yake au nyingine - KIBARAKA/KIKARAGOSI
kiongozi wa serikali anayetumiwa ili apate mamlaka au manufaa zaidi - MUALISAJI/MUUGUZI/NESI
anayehudumia wagonjwa - BALOZI
kiongozi wa kidiplomasia anayewakilisha nchi yake katika nchi nyingine - MLANGUZI
mtu anayenunua bidhaa kwa bei rahisi na kuviuza kwa bei ghali - BEPARI
mfanyabiashara mkubwa mwenye kumiliki rasilimali au mali na njia kuu za uchumi - MFINYANZI
mtu anayeunda vyombo vya udongo k.v-vyungu,kauri nk - DIWANI
mtu anayewakilisha watu wake katika serikali za mitaa - MKALIMANI/MTARIJUMANI/MTAPTA
anayetafsiri lugha - SEREMALA
fundi au stadi anayetengeza vifa vya mbao au fanicha au samani - MWADHINI
mtu anayewaita watu msikitini kwa swala - TOPASI/CHURA
mtu anayefanya kazi ya usafi wa choo - DOBI
anayeosha nguo au kuzipiga pasi - SOGORA
stadi wa kucheza ngoma Kwa kutumia mkwiro. - MWANGALIZI
mtu anayefanya kazi ya utunzaji na uhifadhi wa vitu ili visiharibike au mambo yasiende kombo - MWANGUZI
mtu afanyaye kazi ya kuangusha matunda k.v-nazi kutoka kwenye mnazi - MWANAFASIHI
mtu anayefanya kazi ya uandishi wa sanaa ya fasihi - MWANAMKENDE/KISABALUU/KIBERENGE/KAHABA/MALAYA/KIBIRITINGOMA/CHANGUDOA/MTALALESHI/MLUPO/GUBERI
mwanamke anayefanya kazi ya kujiuza au kuuza mwili wake kwa wanaume kwa ajili ya kupata pesa - MNDEWA/JUMBE
mtu ambaye ni kiongozi wa jamii yake,pia huitwa balozi wa kijiji - MWANAMICHEZO
mtu ambaye kazi yake ni michezo,mdau wa michezo - MWANAMASUMBWI/MWANANDONDI
anayefanya kazi ya kupigana ndondi au ngumi - MWANAMUZIKI/MWIMBAJI
mtu anayefanya kazi ya kuimba kwa kutumia zana za muziki - MWANARIADHA
anayefanya kazi ya mbio;riadha.mchezaji wa riadha - MWANARIWAYA
anayefanya kazi ya kuandika vitabu vya hadithi,novela au riwaya - MWANASARUFU
- mtu ambaye kazi yake hushughulikia taaluma ya sarufi
- MWANASAYANSI
mtu ambaye kazi yake inashughulikia uchunguzi,upimaji,majaribi - UTEDI
mtumishi wa cheo kidogo afanyaye kazi katika chombo cha bahari k.v kukiosha na kuwapa watu chakula - MAMANTILIE
mtu hasa wa kike anayeuza chakula magengeni au nyumbani - MAMLUKI
huyu ni askari wa kukodiwa ili kupigana katika nchi jirani - HARAMIA
huyu ni mnyang’anyi wa baharini.Gaidi wa baharini. - MAKANIKA
fundi wa kutengeneza magari,mashine,Injini,Meli,pikipiki au mitambo ya vyuma(Chuma) - MANAMBA
wafanyakazi wahamiaji katika mashamba makubwa - MCHINJAJI
mtu anayefanya kazi ya kuchinja wanyama na kuwauza kwenye bucha - MCHORAJI
mtu anayefanya kazi ya kuchora picha - LUGOJO
watu wanaolinda kwa zamu - MFAGIZI/MFAGIAJI
mtu anayefagia - MFARISHI
mtu anayefanya kazi ya kutandika kitanda - MRINA
fundi stadi wa kuvuna na kupakua asali - RUGARUGA
mtu ambaye anafanya kazi chini ya amri ya chifu - KIBICHAMBO
mtu hasa wa kike anayetumiwa kufanya kazi ya kunasa adui wa upande hasimu - FUNDIBOMBA
mtu atengenezaye mifereji ya maji na kuunganisha paipu za mifereji na mitaro(PLUMBER) - MKWEZI
anayepanda au kuaramia miti kv minazi na kuangua nazi - MFUANAZI
mtu anayetoa makumbi kwenye nazi - KOSTEBO
Afisa katika kikosi Cha usalama wa Umma kama vile Polisi,Jeshi nk asiye na cheo - MWALIMU/MDARISI/USTADH
Mtu anayefundisha - NAHODHA
mtu anayeendesha meli - SARAHANGI
mtu anayemsaidia nahodha(nahodha wa pili) - KANDAWALA
mtu anayeendesha garimoshi - DEREVA
mtu anayeendesha gari - RUBANI
mtu anayeendesha ndege - SAISI
mtu anayefanya kazi ya kuchunga wanyama wanaopandwa kama vile Farasi,Punda,Ngamia n.k - MZEGAMZEGA
mtu anayeuza maji kwa kuyatembeza - MGEMA
mtu anayefanya kazi kukinga tembo la mnazi au kuchanja magome ili kupata utomvu au kutengeneza ulimbo - DALALI/MNADI
mtu anayeuza bidhaa mnadani kwa kutangaza;**Zabuni-uza kwa kushindanisha bei - MACHINGA/MMACHINGA
mtu anayefanya kazi ya biashara kwa kutembeza bidhaa zake aghalabu kwa miguu ili kuwatafuta wateja mf.’Malimali’ - MCHUKUZI/HAMALI/MPAGAZI
mtu anayefanya kazi ya kubeba mizigo kwa kutumia rukwama,toroli,bero/baro nk - MCHUUZI
mtu afanyaye kazi ya biashara ya kuuza vitu rejareja mf.Hawker! - MKUNGA
mtu anayewasaidia wanawake kukopoa au kujifungua - NGARIBA
mtu anayetahiri vijana jandoni au unyagoni - MHASIBU
Mtu anayefanya kazi ya kusimamia fedha katika kampuni,shule,chuo,Benki,Kikundi au chama - KESHIA
Mtu anayepokea malipo na kuandikia wanaolipa stakabadhi au risiti ya malipo - MWANASAYANSI
mtu ambaye kazi yake inashughulikia uchunguzi,ugunduzi,upimaji,majaribio na kuthibitishwa kwa muda uliopo - MWANASOKA
mtu anayefanya kazi ya kucheza mpira wa miguu,soka,kabumbu,gozi au kandanda - MTAALAMU
mtu anayefanya kazi taaluma aliyotaalamika ndani yake - MWANATAMTHILIA/MWANATAMTHILIYA
mtu anayefanya kazi ya kuandika michezo ya kuigiza - MWANAHABARI/MTANGAZAJI
mtu anayefanya kazi ya kutafuta,kuandika,kukusanya,kuhari na kutangaza au kusambaza taarifa au habari katika vyombo vya habari - MWANALEKSIKOLOGRAFIA
mtu anayefanya kazi inayoshughulikia uchunguzi,uchambuzi na uchanganuzi wa msamiati wa lugha pamoja na maana yake - MLEHEMAJI
mtu anayefanya kazi ya kuunganisha vitu hasa vyuma kwa kutumia madini aghalabu kwa kutumia risasi(WELDER) - MWANALEKSIKOGRAFIA
mtu anayefanya kazi ya kuandika Kamusi - MSHAURINASAHA
- mtu anayefanya kazi ya kutoa ushauri au nasaha kwa watu
- MCHANGANUZI
mtu afanyaye kazi ya kuchanganua masuala tofautitofauti. - MSWIRIZI
Mtaalamu wa kufuga na kucheza na wanyama hayawani kama vile Nyoka,Nyani,Sokwe nk. (SNAKE CHARMER) - MHAKIKIMALI
anayefanya kazi ya kuhakiki ubora wa bidhaa - MWAMIAJI/MWAMIZI
afanyaye kazi ya kuamia ndege shamba - MWAMUZI
anayesuluhisha ugomvi baina ya pande mbili au zaidi - REFA/MWAMUZI
anayechezesha mchezo kulingana na sheria za mchezo husika - MWANAANGA
afanyaye kazi ya utafiti wa mambo ya anga - MWANABAYOLOJIA
mtaalamu wa masuala ya maisha na uhai wa viumbe na mimea - MWANADIPLOMASIA
mtu anayefanya kazi kv katika ubalozi - MWANAGAINOKOLOJIA
mtaalamu wa maradhi ya akina mama - MWANAISIMU
mtaalamu wa masuala ya isimu na lugha - MWANAJESHI
askari katika jeshi la ulinzi - MWANAMAJI/BAHARIA/MWANAPWA
mtu anayefanya kazi katika chombo cha baharini - MWANASHERIA
mtu utaalamu wa mambo ya sheria - MWANASIASA
mtu anayejishughulisha na mambo ya siasa - MSHAIRI/MTUNZI/MALENGA
mtu afanyaye kazi ya kutunga mashairi/nudhuma - MGHANI/MANJU
gwiji katika kuimba mashairi - RAWI
stadi katika kukariri au kusoma shairi bila kuimba - SHAHA
mtu stadi katika kuhariri mashairi - MHARIRI
stadi katika kusoma na kukosoa kazi ilioandikwa na mtu mwengine! - MNUNGURI/MKONOKONO
mganga anayewatibu walioumwa na nyoka - MGIMBA
mganga anayeaminika kuwezesha mvua kunyesha au kuizuia kimuujiza - MGAGAJI
mtu anayefanya biashara ya kuwauzia watu bidhaa kwa bei za juu sana kidhuluma - MHAZIGI/MGANGAJI
mtu mwenye ujuzi wa kutibu viungo vya mwili vilivyovunjika. Daktari wa mifupa na nyonga za mwili. - MGUNDUZI
mtu anayefanya kazi ya kugundua na kudhihirisha kitu au jambo lililokuwa limejificha au lililokuwa halijulikani - SHUSHUSHU
mtu anayepeleleza maisha ya watu kwa niaba ya serikali-afisa wa usalama wa taifa(SPY) - KUWADI/GAWADI/KIJUMBE/GAMBERA/MTALALESHI/KIBIRIKIZI
mtu anayepeleleza habari za siri kutoka kwa mtu fulani kuenda kwa mwengine hasa kati ya mwanamke na mwanamume - MSASI/MRUMBA/MWINDAJI/MKAA
mtu anayewinda wanyama msituni akiwa na idhini - KIJAKAZI/MJAKAZI/KISONOKO
mtumwa mwanamke katika nyumba;mwanamke au msichana anayefanya kazi ya nyumba - JANGILI
mtu anawinda wanyama katika mbuga za wanyama bila ya idhini ya serikali - JEMEDARI/AMIRI
mkuu wa majeshi - JAMBAZI
mtu anayefanya kazi ya wizi Kwa kuua akitumia Silaha hatari kama vile bunduki,Bastola nk. - MCHOPOZI/MCHOPOAJI
mtu anayeiba kwa kutoa mfukoni au mkobani kwa kutumia vidole viwili kisirisiri - MNYANG’ANYI
mtu anayeiba kwa kunyang’anya hadharani na guvu - SAJINI/SAJENTI
askari mwenye cheo kilicho daraja moja zaidi kuliko koplo - KOPLO
afisa wa jeshi au polisi aliye chini ya sajini na juu ya Konstebo-Mwandamizi - LUTENI
ofisa wa kijeshi aliye chini ya kapteni na juu ya luteni usu - KAPTENI
ofisa wa jeshi kati ya luteni na meja - MEJA
ofisa wa jeshi mwenye cheo cha chini yd lutenikanali na juu ya kapteni - MEJAJENERALI
ofisa wa jeshi aliye juu ya brigediajenerali na chini lutenijenerali - BRIGEDIA
ofisa wa kijeshi mwenye cheo cha juu ya kanali na chini ya mejajenerali - LUTENI-JENERALI
ofisa wa jeshi mwenye cheo cha juu ya meja-jenerali na chini ya jenerali - LUTENIKANALI
ofisa wa jeshi mwenye cheo cha juu ya meja na chini ya kanali - KANALI
ofisa wa jeshi aliye juu ya lutenikanali - LUTENIUSU
ofisa wa cheo cha kwanza chini ya luteni - OFISAUGANI/AFISAUGANI
ofisa mwenezi wa taarifa au maarifa fulani uwandani. - MHAKIKIMALI
anayefanya kazi ya kuhakiki ubora wa bidhaa Kabla havijaenda sokoni Kwa mauzo - MWAMIAJI/MWAMIZI
afanyaye kazi ya kuamia ndege kwenye shamba la vyakula - MSHAIRI/MTUNZI/MALENGA
mtu afanyaye kazi ya kutunga mashairi/nudhuma - MGHANI/MANJU
gwiji katika kuimba mashairi - RAWI
stadi katika kukariri au kusoma shairi bila kuimba - SHAHA
mtu stadi katika kuhariri mashairi - MHARIRI
stadi katika kusoma na kukosoa kazi ilioandikwa na mtu mwengine! - KARII
mtu anayesoma Kurani hasa Tajuwidi - KONDAKTA/TANIBOI/UTINGO/MAKANGA
mtu anayepokea nauli kwenye gari pia hupakia na kupakua mizigo kwenye matwana,daladala au matatu - MSUKAJI
mtu anayeshona,kutarizi au kufuma mkeka,jamvi,kanda au vikapu - BOSI/TAJIRI
mkuu wa ofisi anayeajiri watu katika kazi - MRAMALI
mtu anayetabiri mambo kwa kuvmia elimu ya nyota - MRATIBU
mtu anayepanga,kuunganisha na kusimamia shughuli za watu mbalimbali katika kazi au ofisi - HATIBU
mtu anayetoa hotuba kwa hadhira au hadhara(SpeechMaker.) **Mtu anayefanya kazi ya Kuzungumza Kwa Niaba ya kampuni,shirika, Serikali,chama,Kikundi au muungano(SPOKESPERSON) - BAYANA
mtu stadi au fundi wa kusema,kuongea au kuhutubu kwa kutumia ujuzi wa lugha - MRASIMU
mtu anayefanya kazi ya afisi na kulingana na taratibu na kanuni za utawala - WADENI
Afisa mwenye dhamana ya kusimamia mahali k.v-mbuga za wanyama,hoteli,misitu,magereza(WARDEN/GAMEPAEK RANGER) - WAKALA/AJENTI
mwakilishi wa kampuni,shirika au shughuli ya kibiashara - WARIA
mtu aliye hodari katika kazi za mikono mf.ushonaji,uashi,uchongaji nk(ARTISAN) - UTEDI
mtumishi wa cheo kidogo afanyaye kazi katika chombo cha bahari. - GADI/BAWABU/MLINZI/ASKARIGONGO
Afisa wa usalama wa kibinafai anayefanya kazi ya Kulinda Uhai na Mali ya tajiri. - HADIMU
Mtu anayefanya kazi ya kuwahhdumia wateja katika hoteli,mkahawa,mgahawa,dukani,supamaketi nk(WAITER) - NESI
Mhudumu Afya anayewashughulikia wagonjwa katika hospitali au nyumbani.
- MCHOPOZI/MCHOPOAJI
mtu anayeiba kwa kutoa mfukoni au mkobani kwa kutumia vidole viwili kisirisiri - MNYANG’ANYI
mtu anayeiba kwa kunyang’anya hadharani na guvu - SAJINI
askari mwenye cheo kilicho daraja moja zaidi kuliko koplo - KOPLO
afisa wa jeshi au polisi aliye chini ya sajini - LUTENI
ofisa wa kijeshi aliye chini ya kapteni na juu ya luteni usu - KAPTENI
ofisa wa jeshi kati ya luteni na meja - MEJA
ofisa wa jeshi mwenye cheo cha chini yd lutenikanali na juu ya kapteni - MEJAJENERALI
ofisa wa jeshi aliye juu ya brigediajenerali na chini lutenijenerali - BRIGEDIA
ofisa wa kijeshi mwenye cheo cha juu ya kanali na chini ya mejajenerali - LUTENI-JENERALI
ofisa wa jeshi mwenye cheo cha juu ya meja-jenerali na chini ya jenerali - LUTENIKANALI
ofisa wa jeshi mwenye cheo cha juu ya meja na chini ya kanali - KANALI
ofisa wa jeshi aliye juu ya lutenikanali - LUTENIUSU
ofisa wa cheo cha kwanza chini ya luteni - OFISAUGANI/AFISAUGANI
ofisa mwenezi wa taarifa au maarifa fulani uwandani
- WATU NA KAZI ZAOPost Views: 46
- MAPAMBAZUKO YA MACHWEO POSSIBLE KCSE QUESTIONSPost Views: 284
- MWONGOZO WA BEMBEA YA MAISHA COMPREHENSIVE STUDY GUIDEPost Views: 275
- MWONGOZO WA NGUU ZA JADI 2023Post Views: 42
- MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO NA HADITHI NYINGINEPost Views: 654
- MWONGOZO WA NGUU ZA JADI (GUIDE)Post Views: 94
- MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO (STUDY GUIDE)Post Views: 1,744
- BEMBEA YA MAISHA MASWALI MATARAJIWA KATIKA MTIHANI MKUU WA KCSEPost Views: 358
- MWONGOZO WA BEMBEA YA MAISHAPost Views: 77
- MWONGOZO WA PAMBAZUKOPost Views: 57
- Mtoto wa Nyati huitwa?Mtoto wa Nyati huitwa? ndama Post Views: 19
- KISWAHILI QUESTION PAPER 1 FOR KCSE 2014Post Views: 35
- KISWAHILI QUESTION PAPER 2 FOR KCSE 2014Post Views: 9
- KISWAHILI QUESTION PAPER 3 FOR KCSE 2014Post Views: 11