- MWANGALIZI
mtu anayefanya kazi ya utunzaji na uhifadhi wa vitu ili visiharibike au mambo yasiende kombo - MWANGUZI
mtu afanyaye kazi ya kuangusha matunda k.v-nazi kutoka mtini - MWANAFASIHI
mtu anayefanya kazi ya uandishi wa sanaa ya fasihi - MWANAMKENDE/KISABALUU/KIBERENGE/KAHABA/MALAYA/KIBIRITINGOMA/CHANGUDOA/MTALALESHI/MLUPO/GUBERI
mwanamke anayefanya kazi ya kujiuza au kuuza mwili wake kwa wanaume kwa ajili ya kupata pesa - MNDEWA/JUMBE
mtu ambaye ni kiongozi wa jamii yake,pia huitwa balozi wa kijiji - MWANAMICHEZO
mtu ambaye kazi yake ni michezo,mdau wa michezo - MWANAMASUMBWI/MWANANDONDI
anayefanya kazi ya kupigana ndondi au ngumi - MWANAMUZIKI/MWIMBAJI
mtu anayefanya kazi ya kuimba kwa kutumia zana za muziki - MWANARIADHA
anayefanya kazi ya mbio;riadha.mchezaji wa riadha - MWANARIWAYA
anayefanya kazi ya kuandika vitabu vya hadithi,novela au riwaya - MWANASARUFU
mtu ambaye kazi yake hushughulikia taaluma ya sarufi - MWANASAYANSI
mtu ambaye kazi yake inashughulikia uchunguzi,upimaji,majaribi
- UTEDI
mtumishi wa cheo kidogo afanyaye kazi katika chombo cha bahari k.v kukiosha na kuwapa watu chakula - MAMANTILIE
mtu hasa wa kike anayeuza chakula magengeni au nyumbani - MAMLUKI
huyu ni askari wa kukodiwa ili kupigana katika nchi jirani - HARAMIA
huyu ni mnyang’anyi wa baharini.Gaidi wa baharini. - MAKANIKA
fundi wa kutengeneza magari au mashine - MANAMBA
wafanyakazi wahamiaji katika mashamba makubwa - MCHINJAJI
mtu anayefanya kazi ya kuchinja wanyama na kuwauza kwenye bucha - MCHORAJI
mtu anayefanya kazi ya kuchora picha - LUGOJO
watu wanaolinda kwa zamu - MFAGIZI/MFAGIAJI
mtu anayefagia - MFARISHI
mtu anayefanya kazi ya kutandika kitanda - MRINA
fundi stadi wa kupakua asali - RUGARUGA
mtu ambaye anafanya kazi chini ya amri ya chifu - KIBICHAMBO
mtu hasa wa kike anayetumiwa kufanya kazi ya kunasa adui wa upande hasimu - FUNDIBOMBA
mtu atengenezaye mifereji ya maji - MKWEZI
anayepanda au kuaramia miti kv minazi na kuangua nazi - MFUANAZI
mtu anayetoa makumbi kwenye nazi - KOSTEBO
polisi wa cheo cha chini…
- MNAJIMU/FALAKI/MAJUSI
mwenye elimu na stadi wa masuala ya nyota - MWANDAZI
mtu anayepika chakula kwa ajili ya shughuli za fulani k.v-sherehe,karamu nk - MNYAPARA/MSIMAMIZI
mtu anayeangalia au kusimamia utekelezaji wa kazi - MKADIMU
msimamizi mkuu wa shamba - NOKOA
msaidizi wa mkadimu - MHADHIRI
mwalimu katika chuo kikuu au chuo cha kadri anayefundisha kwa kutoa mhadhara - MJUME
fundi wa kutia nakshi katika vyombo kama vile vya madini au mbao - TARISHI/MJUMBE/KATIKIRO/MESENJA
mtu anayefanya kazi ya kutumwa kupeleka barua au ujumbe kutoka ofisi moja hadi nyingine au mahali mbalimbali - MSHENGA
mtu anayetumwa kupeleka ujumbe au habari za kuoa-posa kutoka upande wa mchumba-mume kwa upande wa mke-mchumbiwa - DAKTARI/TABIBU/MGANGA
mtu stadi katika masuala ya kuwatibu wagonjwa - DAKTARIMENO/MHAZIGIMENO
huyu ni daktari wa meno - KULI/MPAKUZI/MPAKIZI
mtu anayefanya kazi ya kupakua na kupakia mizigo kwenye meli,gari,bohari au mahali panapostahili - MSUSI/MSONZI
anayesuka watu nywele - KARII
msomaji wa Kurani
- MWALIMU/MDARISI/USTADH
Mtu anayefundisha - NAHODHA
mtu anayeendesha meli - SARAHANGI
mtu anayemsaidia nahodha(nahodha wa pili) - KANDAWALA
mtu anayeendesha garimoshi - DEREVA
mtu anayeendesha gari - RUBANI
mtu anayeendesha ndege - SAISI
mtu anayefanya kazi ya kuchunga wanyama wanaopandwa kama vile Farasi,Punda,Ngamia n.k - MZEGAMZEGA
mtu anayeuza maji kwa kuyatembeza - MGEMA
mtu anayefanya kazi kukinga tembo la mnazi au kuchanja magome ili kupata utomvu au kutengeneza ulimbo - DALALI/MNADI
mtu anayeuza bidhaa mnadani kwa kutangaza;**Zabuni-uza kwa kushindanisha bei - MACHINGA/MMACHINGA
mtu anayefanya kazi ya biashara kwa kutembeza bidhaa zake aghalabu kwa miguu ili kuwatafuta wateja mf.’Malimali’ - MCHUKUZI/HAMALI/MPAGAZI
mtu anayefanya kazi ya kubeba mizigo kwa kutumia rukwama,toroli,bero/baro nk - MCHUUZI
mtu afanyaye kazi ya biashara ya kuuza vitu rejareja mf.Hawker! - MKUNGA
mtu anayewasaidia wanawake kukopoa au kujifungua - NGARIBA
mtu anayetahiri vijana jandoni au unyagoni - MHASIBU
Mtu anayefanya kazi ya upimaji wa hali ya kifedha ya shirika au biashara, Mtaalamu wa kuweka hesabu za fedha. ‘Accountant‘
- MHAKIKIMALI
anayefanya kazi ya kuhakiki ubora wa bidhaa - MWAMIAJI/MWAMIZI
afanyaye kazi ya kuamia ndege shamba - MWAMUZI
anayesuluhisha ugomvi baina ya pande mbili au zaidi - REFA/MWAMUZI
anayechezesha mchezo kulingana na sheria za mchezo husika - MWANAANGA
afanyaye kazi ya utafiti wa mambo ya anga - MWANABAYOLOJIA
mtaalamu wa masuala ya viumbe na mimea - MWANADIPLOMASIA
mtu anayefanya kazi kv katika ubalozi - MWANAGAINOKOLOJIA
mtaalamu wa maradhi ya akina mama - MWANAISIMU
mtaalamu wa masuala ya isimu na lugha - MWANAJESHI
askari katika jeshi la ulinzi - MWANAMAJI/BAHARIA/MWANAPWA
mtu anayefanya kazi katika chombo cha baharini - MWANASHERIA
mtu utaalamu wa mambo ya sheria - MWANASIASA
mtu anayejishughulisha na mambo ya siasa - MSHAIRI/MTUNZI/MALENGA
mtu afanyaye kazi ya kutunga mashairi/nudhuma - MGHANI/MANJU
gwiji katika kuimba mashairi - RAWI
stadi katika kukariri au kusoma shairi bila kuimba - SHAHA
mtu stadi katika kuhariri mashairi - MHARIRI
stadi katika kusoma na kukosoa kazi ilioandikwa na mtu mwengine!
- KARII
mtu anayesoma Kurani hasa Tajuwidi - KONDAKTA/TANIBOI/UTINGO/MAKANGA
mtu anayepokea nauli kwenye gari pia hupakia na kupakua mizigo kwenye matwana,daladala au matatu - MSUKAJI
mtu anayeshona,kutarizi au kufuma mkeka,jamvi,kanda au vikapu - BOSI/TAJIRI
mkuu wa ofisi anayeajiri watu katika kazi - MRAMALI
mtu anayetabiri mambo kwa kuvmia elimu ya nyota - MRATIBU
mtu anayepanga,kuunganisha na kusimamia shughuli za watu mbalimbali katika kazi au ofisi - HATIBU
mtu anayetoa hotuba kwa hadhira au hadhara - BAYANA
mtu stadi au fundi wa kusema,kuongea au kuhutubu kwa kutumia ujuzi wa lugha - MRASIMU
mtu anayefanya kazi ya afisi na kulingana na taratibu na kanuni za utawala - WADENI
mwenye dhamana ya kusimamia mahali k.v-mbuga za wanyama,hoteli,misitu,magereza - WAKALA/AJENTI
mwakilishi wa kampuni,shirika au shughuli ya kibiashara - WARIA
mtu aliye hodari katika kazi za mikono mf.ushonaji,uashi,uchongaji nk - UTEDI
mtumishi wa cheo kidogo afanyaye kazi katika chombo cha bahari kv-kukiosha……………..
- MWASHI
mtu anayejenga nyumba za mawe;anayeaka - SAKUBIMBI
mtu mwenye tabia za kueneza habari za watu za uongo - JASUSI/MPELELEZI/NDUNZI/DUZI/MTESI
mtu anayechunguza watu kibubusa na matukio fulani katika nchi yake au nyingine - KIBARAKA/KIKARAGOSI
kiongozi wa serikali anayetumiwa ili apate mamlaka au manufaa zaidi - MUALISAJI/MUUGUZI/NESI
anayehudumia wagonjwa - BALOZI
kiongozi wa kidiplomasia anayewakilisha nchi yake katika nchi nyingine - MLANGUZI
mtu anayenunua bidhaa kwa bei rahisi na kuviuza kwa bei ghali - BEPARI
mfanyabiashara mkubwa mwenye kumiliki rasilimali au mali na njia kuu za uchumi - MFINYANZI
mtu anayeunda vyombo vya udongo k.v-vyungu,kauri nk - DIWANI
mtu anayewakilisha watu wake katika serikali za mitaa - MKALIMANI/MTARIJUMANI/MTAPTA
anayetafsiri lugha - SEREMALA
fundi anayetengeza vifa vya mbao au fanicha au samani - MWADHINI
mtu anayewaita watu msikitini kwa swala - TOPASI/CHURA
mtu anayefanya kazi ya usafi wa choo - DOBI
anayeosha nguo au kuzipiga pasi - SOGORA
stadi wa kucheza ngoma…..
- MHASIBU
mtu anayeweka hesabu ya fedha - MHAZILI/SEKRETARI
mtu anayetunza barua na majalada ya ofisi na kuandika kwa mashine kama vile taipureta au taipu - MHANDISI/INJINIA
fundi wa mitambo hasa ya vyuma - BAWABU/GADI/MLINZI/ASKARIGONGO/SOJA
mtu anayelinda mali na maisha ya tajiri au bwenyenye kv viwanda,boma,shule,mashirika,ofisi nk kwa kuweka usalama - MKUMBIZI
mtu anayesafisha na kuondoa takataka;pia ni mtu afuataye wavunaji shambani na kuokoteza mavuno yaliyosalia na kuuza au kutumia nyumbani - MSAJILI
mtu anayeandikisha vifo,kura na kuweka orodha ya kazi au vitu alivyokabidhiwa - SONARA/MFUAFEDHA
fundi wa kutengeneza mapambo k.v-pete,kekee,mkufu,bangili,kikero n.k - MSANA/MHUNZI/MFUACHUMA
mtu anayefanya kazi ya kufua vitu vya madini ya chuma au bati k.v-visu,sufuria,majembe,seredani,ndusi,panga nk - MUKUTUBI/MKUTUBU
mtu anayefanya kazi ya kuhifadhi vitabu na kuviazimisha kwa wasomi - AKIDU
mtu anayefanya kazi kwa mkatabani - MUTRIBU
mtu anayeimba nyimbo za taarabu - MWASHI
anayejenga nyumba….
- MWANASAYANSI
mtu ambaye kazi yake inashughulikia uchunguzi,ugunduzi,upimaji,majaribio na kuthibitishwa kwa muda uliopo - MWANASOKA
mtu anayefanya kazi ya kucheza mpira wa miguu,soka,kabumbu,gozi au kandanda - MTAALAMU
mtu anayefanya kazi taaluma aliyotaalamika ndani yake - MWANATAMTHILIA/MWANATAMTHILIYA
mtu anayefanya kazi ya kuandika michezo ya kuigiza - MWANAHABARI/MTANGAZAJI
mtu anayefanya kazi ya kutafuta,kuandika,kukusanya,kuhari na kutangaza au kusambaza taarifa au habari katika vyombo vya habari - MWANALEKSIKOLOGRAFIA
mtu anayefanya kazi inayoshughulikia uchunguzi,uchambuzi na uchanganuzi wa msamiati wa lugha pamoja na maana yake - MLEHEMAJI
mtu anayefanya kazi ya kuunganisha vitu hasa vyuma kwa kutumia madini aghalabu kwa kutumia risasi - MWANALEKSIKOGRAFIA
mtu anayefanya kazi ya kuandika Kamusi - MSHAURINASAHA
mtu anayefanya kazi ya kutoa ushauri au nasaha kwa watu - MCHANGANUZI
mtu afanyaye kazi ya kuchanganua masuala tofautitofauti.
Kwa hayo machache sina cha ziada.Je,una nini mdau?
- MNAJIMU/FALAKI/MAJUSI
mwenye elimu na stadi wa masuala ya nyota - MWANDAZI
mtu anayepika chakula kwa ajili ya shughuli za fulani k.v-sherehe,karamu nk - MNYAPARA/MSIMAMIZI
mtu anayeangalia au kusimamia utekelezaji wa kazi - MKADIMU
msimamizi mkuu wa shamba - NOKOA
msaidizi wa mkadimu - MHADHIRI
mwalimu katika chuo kikuu au chuo cha kadri anayefundisha kwa kutoa mhadhara - MJUME
fundi wa kutia nakshi katika vyombo kama vile vya madini au mbao - TARISHI/MJUMBE/KATIKIRO/MESENJA
mtu anayefanya kazi ya kutumwa kupeleka barua au ujumbe kutoka ofisi moja hadi nyingine au mahali mbalimbali - MSHENGA
mtu anayetumwa kupeleka ujumbe au habari za kuoa-posa kutoka upande wa mchumba-mume kwa upande wa mke-mchumbiwa - DAKTARI/TABIBU/MGANGA
mtu stadi katika masuala ya kuwatibu wagonjwa - DAKTARIMENO/MHAZIGIMENO
huyu ni daktari wa meno - KULI/MPAKUZI/MPAKIZI
mtu anayefanya kazi ya kupakua na kupakia mizigo kwenye meli,gari,bohari au mahali panapostahili - MSUSI/MSONZI
anayesuka watu nywele - MWASHI
mtu anayejenga nyumba za mawe;anayeaka - SAKUBIMBI
mtu mwenye tabia za kueneza habari za watu za uongo - JASUSI/MPELELEZI/NDUNZI/DUZI/MTESI
mtu anayechunguza watu kibubusa na matukio fulani katika nchi yake au nyingine - KIBARAKA/KIKARAGOSI
kiongozi wa serikali anayetumiwa ili apate mamlaka au manufaa zaidi - MUALISAJI/MUUGUZI/NESI
anayehudumia wagonjwa - BALOZI
kiongozi wa kidiplomasia anayewakilisha nchi yake katika nchi nyingine - MLANGUZI
mtu anayenunua bidhaa kwa bei rahisi na kuviuza kwa bei ghali - BEPARI
mfanyabiashara mkubwa mwenye kumiliki rasilimali au mali na njia kuu za uchumi - MFINYANZI
mtu anayeunda vyombo vya udongo k.v-vyungu,kauri nk - DIWANI
mtu anayewakilisha watu wake katika serikali za mitaa - MKALIMANI/MTARIJUMANI/MTAPTA
anayetafsiri lugha - SEREMALA
fundi au stadi anayetengeza vifa vya mbao au fanicha au samani - MWADHINI
mtu anayewaita watu msikitini kwa swala - TOPASI/CHURA
mtu anayefanya kazi ya usafi wa choo - DOBI
anayeosha nguo au kuzipiga pasi - SOGORA
stadi wa kucheza ngoma Kwa kutumia mkwiro. - MWANGALIZI
mtu anayefanya kazi ya utunzaji na uhifadhi wa vitu ili visiharibike au mambo yasiende kombo - MWANGUZI
mtu afanyaye kazi ya kuangusha matunda k.v-nazi kutoka kwenye mnazi - MWANAFASIHI
mtu anayefanya kazi ya uandishi wa sanaa ya fasihi - MWANAMKENDE/KISABALUU/KIBERENGE/KAHABA/MALAYA/KIBIRITINGOMA/CHANGUDOA/MTALALESHI/MLUPO/GUBERI
mwanamke anayefanya kazi ya kujiuza au kuuza mwili wake kwa wanaume kwa ajili ya kupata pesa - MNDEWA/JUMBE
mtu ambaye ni kiongozi wa jamii yake,pia huitwa balozi wa kijiji - MWANAMICHEZO
mtu ambaye kazi yake ni michezo,mdau wa michezo - MWANAMASUMBWI/MWANANDONDI
anayefanya kazi ya kupigana ndondi au ngumi - MWANAMUZIKI/MWIMBAJI
mtu anayefanya kazi ya kuimba kwa kutumia zana za muziki - MWANARIADHA
anayefanya kazi ya mbio;riadha.mchezaji wa riadha - MWANARIWAYA
anayefanya kazi ya kuandika vitabu vya hadithi,novela au riwaya - MWANASARUFU
- mtu ambaye kazi yake hushughulikia taaluma ya sarufi
- MWANASAYANSI
mtu ambaye kazi yake inashughulikia uchunguzi,upimaji,majaribi - UTEDI
mtumishi wa cheo kidogo afanyaye kazi katika chombo cha bahari k.v kukiosha na kuwapa watu chakula - MAMANTILIE
mtu hasa wa kike anayeuza chakula magengeni au nyumbani - MAMLUKI
huyu ni askari wa kukodiwa ili kupigana katika nchi jirani - HARAMIA
huyu ni mnyang’anyi wa baharini.Gaidi wa baharini. - MAKANIKA
fundi wa kutengeneza magari,mashine,Injini,Meli,pikipiki au mitambo ya vyuma(Chuma) - MANAMBA
wafanyakazi wahamiaji katika mashamba makubwa - MCHINJAJI
mtu anayefanya kazi ya kuchinja wanyama na kuwauza kwenye bucha - MCHORAJI
mtu anayefanya kazi ya kuchora picha - LUGOJO
watu wanaolinda kwa zamu - MFAGIZI/MFAGIAJI
mtu anayefagia - MFARISHI
mtu anayefanya kazi ya kutandika kitanda - MRINA
fundi stadi wa kuvuna na kupakua asali - RUGARUGA
mtu ambaye anafanya kazi chini ya amri ya chifu - KIBICHAMBO
mtu hasa wa kike anayetumiwa kufanya kazi ya kunasa adui wa upande hasimu - FUNDIBOMBA
mtu atengenezaye mifereji ya maji na kuunganisha paipu za mifereji na mitaro(PLUMBER) - MKWEZI
anayepanda au kuaramia miti kv minazi na kuangua nazi - MFUANAZI
mtu anayetoa makumbi kwenye nazi - KOSTEBO
Afisa katika kikosi Cha usalama wa Umma kama vile Polisi,Jeshi nk asiye na cheo - MWALIMU/MDARISI/USTADH
Mtu anayefundisha - NAHODHA
mtu anayeendesha meli - SARAHANGI
mtu anayemsaidia nahodha(nahodha wa pili) - KANDAWALA
mtu anayeendesha garimoshi - DEREVA
mtu anayeendesha gari - RUBANI
mtu anayeendesha ndege - SAISI
mtu anayefanya kazi ya kuchunga wanyama wanaopandwa kama vile Farasi,Punda,Ngamia n.k - MZEGAMZEGA
mtu anayeuza maji kwa kuyatembeza - MGEMA
mtu anayefanya kazi kukinga tembo la mnazi au kuchanja magome ili kupata utomvu au kutengeneza ulimbo - DALALI/MNADI
mtu anayeuza bidhaa mnadani kwa kutangaza;**Zabuni-uza kwa kushindanisha bei - MACHINGA/MMACHINGA
mtu anayefanya kazi ya biashara kwa kutembeza bidhaa zake aghalabu kwa miguu ili kuwatafuta wateja mf.’Malimali’ - MCHUKUZI/HAMALI/MPAGAZI
mtu anayefanya kazi ya kubeba mizigo kwa kutumia rukwama,toroli,bero/baro nk - MCHUUZI
mtu afanyaye kazi ya biashara ya kuuza vitu rejareja mf.Hawker! - MKUNGA
mtu anayewasaidia wanawake kukopoa au kujifungua - NGARIBA
mtu anayetahiri vijana jandoni au unyagoni - MHASIBU
Mtu anayefanya kazi ya kusimamia fedha katika kampuni,shule,chuo,Benki,Kikundi au chama - KESHIA
Mtu anayepokea malipo na kuandikia wanaolipa stakabadhi au risiti ya malipo - MWANASAYANSI
mtu ambaye kazi yake inashughulikia uchunguzi,ugunduzi,upimaji,majaribio na kuthibitishwa kwa muda uliopo - MWANASOKA
mtu anayefanya kazi ya kucheza mpira wa miguu,soka,kabumbu,gozi au kandanda - MTAALAMU
mtu anayefanya kazi taaluma aliyotaalamika ndani yake - MWANATAMTHILIA/MWANATAMTHILIYA
mtu anayefanya kazi ya kuandika michezo ya kuigiza - MWANAHABARI/MTANGAZAJI
mtu anayefanya kazi ya kutafuta,kuandika,kukusanya,kuhari na kutangaza au kusambaza taarifa au habari katika vyombo vya habari - MWANALEKSIKOLOGRAFIA
mtu anayefanya kazi inayoshughulikia uchunguzi,uchambuzi na uchanganuzi wa msamiati wa lugha pamoja na maana yake - MLEHEMAJI
mtu anayefanya kazi ya kuunganisha vitu hasa vyuma kwa kutumia madini aghalabu kwa kutumia risasi(WELDER) - MWANALEKSIKOGRAFIA
mtu anayefanya kazi ya kuandika Kamusi - MSHAURINASAHA
- mtu anayefanya kazi ya kutoa ushauri au nasaha kwa watu
- MCHANGANUZI
mtu afanyaye kazi ya kuchanganua masuala tofautitofauti. - MSWIRIZI
Mtaalamu wa kufuga na kucheza na wanyama hayawani kama vile Nyoka,Nyani,Sokwe nk. (SNAKE CHARMER) - MHAKIKIMALI
anayefanya kazi ya kuhakiki ubora wa bidhaa - MWAMIAJI/MWAMIZI
afanyaye kazi ya kuamia ndege shamba - MWAMUZI
anayesuluhisha ugomvi baina ya pande mbili au zaidi - REFA/MWAMUZI
anayechezesha mchezo kulingana na sheria za mchezo husika - MWANAANGA
afanyaye kazi ya utafiti wa mambo ya anga - MWANABAYOLOJIA
mtaalamu wa masuala ya maisha na uhai wa viumbe na mimea - MWANADIPLOMASIA
mtu anayefanya kazi kv katika ubalozi - MWANAGAINOKOLOJIA
mtaalamu wa maradhi ya akina mama - MWANAISIMU
mtaalamu wa masuala ya isimu na lugha - MWANAJESHI
askari katika jeshi la ulinzi - MWANAMAJI/BAHARIA/MWANAPWA
mtu anayefanya kazi katika chombo cha baharini - MWANASHERIA
mtu utaalamu wa mambo ya sheria - MWANASIASA
mtu anayejishughulisha na mambo ya siasa - MSHAIRI/MTUNZI/MALENGA
mtu afanyaye kazi ya kutunga mashairi/nudhuma - MGHANI/MANJU
gwiji katika kuimba mashairi - RAWI
stadi katika kukariri au kusoma shairi bila kuimba - SHAHA
mtu stadi katika kuhariri mashairi - MHARIRI
stadi katika kusoma na kukosoa kazi ilioandikwa na mtu mwengine! - MNUNGURI/MKONOKONO
mganga anayewatibu walioumwa na nyoka - MGIMBA
mganga anayeaminika kuwezesha mvua kunyesha au kuizuia kimuujiza - MGAGAJI
mtu anayefanya biashara ya kuwauzia watu bidhaa kwa bei za juu sana kidhuluma - MHAZIGI/MGANGAJI
mtu mwenye ujuzi wa kutibu viungo vya mwili vilivyovunjika. Daktari wa mifupa na nyonga za mwili. - MGUNDUZI
mtu anayefanya kazi ya kugundua na kudhihirisha kitu au jambo lililokuwa limejificha au lililokuwa halijulikani - SHUSHUSHU
mtu anayepeleleza maisha ya watu kwa niaba ya serikali-afisa wa usalama wa taifa(SPY) - KUWADI/GAWADI/KIJUMBE/GAMBERA/MTALALESHI/KIBIRIKIZI
mtu anayepeleleza habari za siri kutoka kwa mtu fulani kuenda kwa mwengine hasa kati ya mwanamke na mwanamume - MSASI/MRUMBA/MWINDAJI/MKAA
mtu anayewinda wanyama msituni akiwa na idhini - KIJAKAZI/MJAKAZI/KISONOKO
mtumwa mwanamke katika nyumba;mwanamke au msichana anayefanya kazi ya nyumba - JANGILI
mtu anawinda wanyama katika mbuga za wanyama bila ya idhini ya serikali - JEMEDARI/AMIRI
mkuu wa majeshi - JAMBAZI
mtu anayefanya kazi ya wizi Kwa kuua akitumia Silaha hatari kama vile bunduki,Bastola nk. - MCHOPOZI/MCHOPOAJI
mtu anayeiba kwa kutoa mfukoni au mkobani kwa kutumia vidole viwili kisirisiri - MNYANG’ANYI
mtu anayeiba kwa kunyang’anya hadharani na guvu - SAJINI/SAJENTI
askari mwenye cheo kilicho daraja moja zaidi kuliko koplo - KOPLO
afisa wa jeshi au polisi aliye chini ya sajini na juu ya Konstebo-Mwandamizi - LUTENI
ofisa wa kijeshi aliye chini ya kapteni na juu ya luteni usu - KAPTENI
ofisa wa jeshi kati ya luteni na meja - MEJA
ofisa wa jeshi mwenye cheo cha chini yd lutenikanali na juu ya kapteni - MEJAJENERALI
ofisa wa jeshi aliye juu ya brigediajenerali na chini lutenijenerali - BRIGEDIA
ofisa wa kijeshi mwenye cheo cha juu ya kanali na chini ya mejajenerali - LUTENI-JENERALI
ofisa wa jeshi mwenye cheo cha juu ya meja-jenerali na chini ya jenerali - LUTENIKANALI
ofisa wa jeshi mwenye cheo cha juu ya meja na chini ya kanali - KANALI
ofisa wa jeshi aliye juu ya lutenikanali - LUTENIUSU
ofisa wa cheo cha kwanza chini ya luteni - OFISAUGANI/AFISAUGANI
ofisa mwenezi wa taarifa au maarifa fulani uwandani. - MHAKIKIMALI
anayefanya kazi ya kuhakiki ubora wa bidhaa Kabla havijaenda sokoni Kwa mauzo - MWAMIAJI/MWAMIZI
afanyaye kazi ya kuamia ndege kwenye shamba la vyakula - MSHAIRI/MTUNZI/MALENGA
mtu afanyaye kazi ya kutunga mashairi/nudhuma - MGHANI/MANJU
gwiji katika kuimba mashairi - RAWI
stadi katika kukariri au kusoma shairi bila kuimba - SHAHA
mtu stadi katika kuhariri mashairi - MHARIRI
stadi katika kusoma na kukosoa kazi ilioandikwa na mtu mwengine! - KARII
mtu anayesoma Kurani hasa Tajuwidi - KONDAKTA/TANIBOI/UTINGO/MAKANGA
mtu anayepokea nauli kwenye gari pia hupakia na kupakua mizigo kwenye matwana,daladala au matatu - MSUKAJI
mtu anayeshona,kutarizi au kufuma mkeka,jamvi,kanda au vikapu - BOSI/TAJIRI
mkuu wa ofisi anayeajiri watu katika kazi - MRAMALI
mtu anayetabiri mambo kwa kuvmia elimu ya nyota - MRATIBU
mtu anayepanga,kuunganisha na kusimamia shughuli za watu mbalimbali katika kazi au ofisi - HATIBU
mtu anayetoa hotuba kwa hadhira au hadhara(SpeechMaker.) **Mtu anayefanya kazi ya Kuzungumza Kwa Niaba ya kampuni,shirika, Serikali,chama,Kikundi au muungano(SPOKESPERSON) - BAYANA
mtu stadi au fundi wa kusema,kuongea au kuhutubu kwa kutumia ujuzi wa lugha - MRASIMU
mtu anayefanya kazi ya afisi na kulingana na taratibu na kanuni za utawala - WADENI
Afisa mwenye dhamana ya kusimamia mahali k.v-mbuga za wanyama,hoteli,misitu,magereza(WARDEN/GAMEPAEK RANGER) - WAKALA/AJENTI
mwakilishi wa kampuni,shirika au shughuli ya kibiashara - WARIA
mtu aliye hodari katika kazi za mikono mf.ushonaji,uashi,uchongaji nk(ARTISAN) - UTEDI
mtumishi wa cheo kidogo afanyaye kazi katika chombo cha bahari. - GADI/BAWABU/MLINZI/ASKARIGONGO
Afisa wa usalama wa kibinafai anayefanya kazi ya Kulinda Uhai na Mali ya tajiri. - HADIMU
Mtu anayefanya kazi ya kuwahhdumia wateja katika hoteli,mkahawa,mgahawa,dukani,supamaketi nk(WAITER) - NESI
Mhudumu Afya anayewashughulikia wagonjwa katika hospitali au nyumbani.
- MCHOPOZI/MCHOPOAJI
mtu anayeiba kwa kutoa mfukoni au mkobani kwa kutumia vidole viwili kisirisiri - MNYANG’ANYI
mtu anayeiba kwa kunyang’anya hadharani na guvu - SAJINI
askari mwenye cheo kilicho daraja moja zaidi kuliko koplo - KOPLO
afisa wa jeshi au polisi aliye chini ya sajini - LUTENI
ofisa wa kijeshi aliye chini ya kapteni na juu ya luteni usu - KAPTENI
ofisa wa jeshi kati ya luteni na meja - MEJA
ofisa wa jeshi mwenye cheo cha chini yd lutenikanali na juu ya kapteni - MEJAJENERALI
ofisa wa jeshi aliye juu ya brigediajenerali na chini lutenijenerali - BRIGEDIA
ofisa wa kijeshi mwenye cheo cha juu ya kanali na chini ya mejajenerali - LUTENI-JENERALI
ofisa wa jeshi mwenye cheo cha juu ya meja-jenerali na chini ya jenerali - LUTENIKANALI
ofisa wa jeshi mwenye cheo cha juu ya meja na chini ya kanali - KANALI
ofisa wa jeshi aliye juu ya lutenikanali - LUTENIUSU
ofisa wa cheo cha kwanza chini ya luteni - OFISAUGANI/AFISAUGANI
ofisa mwenezi wa taarifa au maarifa fulani uwandani
- KCSE USHAIRI REVISION: MASWALI NA MAJIBUKCSE USHAIRI REVISION: MASWALI NA MAJIBU Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 114 Related posts: KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE USHAIRI REVISION QUESTIONS MODEL07052023007 KCSE BIOLOGY PAPER 3 FORM 4 REVISION KIT 2023 MODEL2492017 KCSE PHYSICS… Read more: KCSE USHAIRI REVISION: MASWALI NA MAJIBU
- MAUDHUI NA SIFA ZA WAHUSIKA KATIKA BEMBEA YA MAISHAMAUDHUI NA SIFA ZA WAHUSIKA KATIKA BEMBEA YA MAISHA SEHEMU YA KWANZA ONYESHA YA 1, 2, 3 Maudhui ni jumla ya mawazo yote inaozungumzwa katika tamthilia Katika tamthilia ya bembea ya maisha tunapata maudhui mbalimbali ambao hujitoke katika sehemu tofauti. Katika sehemu ya kwanza tunapata Yona anaoa Sara na kuishi pamoja Ndoa ya Yona… Read more: MAUDHUI NA SIFA ZA WAHUSIKA KATIKA BEMBEA YA MAISHA
- KISWAHILI LUGHA NOTESUPDATED KISWAHILI LUGHA NOTES Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 97 Related posts: WATU NA KAZI ZAO KCPE PAST PAPERS 2009 KISWAHILI QUESTIONS AND ANSWERS KISWAHILI PAPER 3 Q MODEL20012023004 KISWAHILI PAPER 1 Q MODEL20012023004 KISWAHILI PAPER 2 Q MODEL20012023004 KCPE 2006 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER… Read more: KISWAHILI LUGHA NOTES
- KISWAHILI PAPER 2 FORM 4 TERM 2 REVISION KIT 2023 QUESTIONS WITH ANSWERS MODEL27082023011KISWAHILI PAPER 2 FORM 4 TERM 2 REVISION KIT 2023 QUESTIONS WITH ANSWERS Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 532 Related posts: KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES FORM 4 AGRICULTURE PAPER… Read more: KISWAHILI PAPER 2 FORM 4 TERM 2 REVISION KIT 2023 QUESTIONS WITH ANSWERS MODEL27082023011
- KCSE FINAL PREDICTION KISWAHILI MODEL23082023004KCSE FINAL PREDICTION KISWAHILI Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 485 Related posts: KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES FORM 4 AGRICULTURE PAPER 1 AND 2 REVISION KITS IN PREPARATIONS OF KCSE… Read more: KCSE FINAL PREDICTION KISWAHILI MODEL23082023004
- TUMBO LISILOSHIBA QUESTIONS FOR REVISIONTUMBO LISILOSHIBA QUESTIONS FOR REVISION Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 5 Related posts: KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES FORM 4 AGRICULTURE PAPER 1 AND 2 REVISION KITS IN PREPARATIONS OF… Read more: TUMBO LISILOSHIBA QUESTIONS FOR REVISION
- ISIMU JAMII REVISION KITISIMU JAMII REVISION KIT Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 213 Related posts: KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES FORM 4 AGRICULTURE PAPER 1 AND 2 REVISION KITS IN PREPARATIONS OF KCSE… Read more: ISIMU JAMII REVISION KIT
- BEMBEA YA MAISHA MWONGOZOBEMBEA YA MAISHA MWONGOZO Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 487 Related posts: KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES KCPE PAST PAPERS 2007 MATHEMATICS QUESTIONS AND ANSWERS CRE Standard 8 Notes KCPE PAST PAPERS 2006 ENGLISH GRAMMAR QUESTION PAPER AND ANSWERS KCPE PAST PAPERS 2007 ENGLISH… Read more: BEMBEA YA MAISHA MWONGOZO
- BEMBEA YA MAISHAMAUDHUI NA SIFA ZA WAHUSIKA KATIKA BEMBEA YA MAISHA SEHEMU YA KWANZA ONYESHA YA 1, 2, 3 Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 228 Related posts: WATU NA KAZI ZAO MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO A COMPREHENSIVE STUDY GUIDE KCPE PAST PAPERS 2006 KISWAHILI LUGHA MASWALI… Read more: BEMBEA YA MAISHA
- MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEOMWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 508 Related posts: MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO A COMPREHENSIVE STUDY GUIDE HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM 4-2022 MAPAMBAZUKO YA MACHWEO POSSIBLE KCSE QUESTIONS MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO… Read more: MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO
- KCSE 2022 KISWAHILI INSHA QUESTION PAPER 1KCSE 2022 KISWAHILI INSHA QUESTION PAPER 1 Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 219 Related posts: KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR… Read more: KCSE 2022 KISWAHILI INSHA QUESTION PAPER 1
- KCSE 2022 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER 2KCSE 2022 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER 2 Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 446 Related posts: KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR… Read more: KCSE 2022 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER 2
- KCSE 2022 KISWAHILI FASIHI QUESTION PAPER 3KCSE 2022 KISWAHILI FASIHI QUESTION PAPER 3 Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 1,099 Related posts: KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR… Read more: KCSE 2022 KISWAHILI FASIHI QUESTION PAPER 3
- GRADE 3 EXAMINATIONS KISWAHILI ACTIVITIESGRADE 3 EXAMINATIONS KISWAHILI ACTIVITIES Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 25 Related posts: KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES CHRISTIANS APPROACHES TO LEISURE WATU NA KAZI ZAO CRE Standard 8 Notes KCPE 2007 KISWAHILI PAST PAPER KISWAHILI PAPER 3 Q MODEL20012023004 KISWAHILI PAPER 1 Q… Read more: GRADE 3 EXAMINATIONS KISWAHILI ACTIVITIES
- KCSE 2022 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER 2KCSE 2022 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER 2 Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 1,226 Related posts: KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR… Read more: KCSE 2022 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER 2
- KCSE 2022 KISWAHILI FASIHI QUESTION PAPER 3KCSE 2022 KISWAHILI FASIHI QUESTION PAPER 3 Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 236 Related posts: KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR… Read more: KCSE 2022 KISWAHILI FASIHI QUESTION PAPER 3
- KISWAHILI PAPER 3 Q MODEL20012023004KISWAHILI PAPER 3 Q MODEL20012023004 Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 741 Related posts: HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM 4-2022 KISWAHILI PAPER 1 Q MODEL20012023004 KISWAHILI PAPER 2 Q MODEL20012023004 KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS,… Read more: KISWAHILI PAPER 3 Q MODEL20012023004
- KISWAHILI PAPER 2 Q MODEL20012023004KISWAHILI PAPER 2 Q MODEL20012023004 Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 195 Related posts: HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM 4-2022 KISWAHILI PAPER 3 Q MODEL20012023004 KISWAHILI PAPER 1 Q MODEL20012023004 KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS,… Read more: KISWAHILI PAPER 2 Q MODEL20012023004
- KISWAHILI PAPER 1 Q MODEL20012023004KISWAHILI PAPER 1 Q MODEL20012023004 Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 133 Related posts: HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM 4-2022 KISWAHILI PAPER 3 Q MODEL20012023004 KISWAHILI PAPER 2 Q MODEL20012023004 KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS,… Read more: KISWAHILI PAPER 1 Q MODEL20012023004
- KCPE 2006 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPERKCPE 2006 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 125 Related posts: KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM 4-2022 KCPE ANSWERS FROM YEAR 2000 TO 2019 KCPE 2006 MATHEMATICS QUESTION PAPER KCSE… Read more: KCPE 2006 KISWAHILI LUGHA QUESTION PAPER
- KCPE 2007 KISWAHILI REPORTKCPE 2007 KISWAHILI REPORT Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 61 Related posts: KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES KCSE 2007 KNEC EXAMINATIONS REPORTS HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM 4-2022 KCPE ANSWERS FROM YEAR 2000 TO 2019 KCPE 2011 PAST… Read more: KCPE 2007 KISWAHILI REPORT
- KCPE 2007 KISWAHILI INSHA QUESTION PAPERKCPE 2007 KISWAHILI INSHA QUESTION PAPER Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 129 Related posts: KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES KCSE 2007 KNEC EXAMINATIONS REPORTS KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCPE ANSWERS FROM YEAR 2000 TO… Read more: KCPE 2007 KISWAHILI INSHA QUESTION PAPER
- KCPE 2007 KISWAHILI PAST PAPERKCPE 2007 KISWAHILI PAST PAPER Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 120 Related posts: KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS KCSE 2007 KNEC EXAMINATIONS REPORTS KCSE ENGLISH GRAMMAR AND LITERATURE NOTES HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS… Read more: KCPE 2007 KISWAHILI PAST PAPER
- KCSE KISWAHILI TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS SINCE 1996KCSE KISWAHILI TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS SINCE 1996 Tell your Besties … Facebook Telegram Twitter Linkedin Reddit Whatsapp Gmail Pinterest Blogger Post Views: 130 Related posts: KCSE PAST PAPERS CHEMISTRY PAPER 1, 2 AND 3 QUESTIONS, ANSWERS-MARKING SCHEMES AND REPORTS HISTORY AND GOVERNMENT REVISION KIT WITH QUESTIONS AND ANSWERS FOR FORM 4-2022 KCSE ENGLISH GRAMMAR… Read more: KCSE KISWAHILI TOPICAL QUESTIONS AND ANSWERS SINCE 1996